Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Kujaribu kuwafanya watanzania waamini kwamba Disemba 09, 2011 tunasherehekea miaka 50 tangu kupata uhuru ni kupindisha historia kwa maslahi ya nani????????? Ni nani tunajaribu kumdanganya kama si sisi wenyewe??????????
Mimi ninayeandika thread hii nilikuwepo usiku wa 09.12.1961 wakati bendera ya mkoloni inashuka na ya Tanganyika kupanda, na tukaimba Mungu ibariki Tanganyika........ .Wanaotaka kupindisha historia wangoje wote tuliokuwepo siku hiyo tuwe tumekufa; hapo itakuwa rahisi kudanganya.
Tanzania ilizaliwa mwaka 1964. Hivyo Tanzania itatimiza miaka 50 mwaka 2014. Kadhalika Tanzania bara ilizaliwa mwaka 1964, na siyo 1961 kama inavyopigiwa parapanda na hawa wapotosha historia ya nchi hii.
Pole Tanzania!!!!!!!!! Kweli mvunja nchi ni mwananchi/mwenyenchi!!!!!!!!!!!!!!
Mimi ninayeandika thread hii nilikuwepo usiku wa 09.12.1961 wakati bendera ya mkoloni inashuka na ya Tanganyika kupanda, na tukaimba Mungu ibariki Tanganyika........ .Wanaotaka kupindisha historia wangoje wote tuliokuwepo siku hiyo tuwe tumekufa; hapo itakuwa rahisi kudanganya.
Tanzania ilizaliwa mwaka 1964. Hivyo Tanzania itatimiza miaka 50 mwaka 2014. Kadhalika Tanzania bara ilizaliwa mwaka 1964, na siyo 1961 kama inavyopigiwa parapanda na hawa wapotosha historia ya nchi hii.
Pole Tanzania!!!!!!!!! Kweli mvunja nchi ni mwananchi/mwenyenchi!!!!!!!!!!!!!!