T tanfossil Member Jun 2, 2012 6 0 Aug 22, 2012 #1 Tafadhali je wajua wapi niende kupima macho hapa dar? Nimeenda mahali mmoja hapo msimbazi lakini sija pata ushauri vizuri.
Tafadhali je wajua wapi niende kupima macho hapa dar? Nimeenda mahali mmoja hapo msimbazi lakini sija pata ushauri vizuri.
BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Aug 22, 2012 #2 zipo clinic ndogo ndogo nyingi mkuu, kama pale BARAKA PLAZA...santas clinic ila CCBRT nadhani ni wataalamu wa hayo majambo! ipo MSASANI pale na kituo kinaitwa MACHO.
zipo clinic ndogo ndogo nyingi mkuu, kama pale BARAKA PLAZA...santas clinic ila CCBRT nadhani ni wataalamu wa hayo majambo! ipo MSASANI pale na kituo kinaitwa MACHO.
kasingo Member Oct 17, 2010 67 21 Aug 22, 2012 #3 Kuna sehemu nyingi za kupima macho unaweza kwenda pale Ilala bunguni au Maeneo ya Clock tower