Chakula gani ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula tena?

Sie huo ulikua kwaajili yetu watoto wakati tunasubiria muda wa kula ufike. Na wali ukishapakuliwa sufuria inanyunyuziwa mchuzi kidogo basi ule ukoko unavyonoga, mpaka raha.

Sie kwetu anachoweza kupewa baba kabla ya muda wa kula ni supu kidogo. . .chakula nusu nusu mwiko.

And I'm saying this frankly,kama kuna kilichonikera kokote,iwe mambo ya family,work stuffs,etc. chakula (a good,delicious food) would wipe all that out!

Tena ukinijulia napenda nini.. Ndo unanimaliza kabisa... Kwangu the best surprise I adore,is a food that you know I like most...
Hata kama mpishi ndiye alinikera asubuhi,au usiku na asubuhi nikaondoka bila kuaga,nikirudi na mihasira yangu nikuta hiyo,tunaanza afresh...

Kwangu a good cook(Lizzy could be that sort,based on variety ya vitu anavyojua kupika),is a qualification to be a good wife..
 
Lizzy

yaani na mimi nilikuwa kama wewe, siku moja i got convinced, crab haina tofauti na samaki ya kawaida kabisaa, ndani ya zile legs na bones ndipo utakuta minofu, its really delicious, ila minofu yake ipo in form of fibers

kama upo dar nenda chinese restaurant inaitwa TANGREN karibu na nyumba private ya kikwete hapo moroco, utafurahi, pia kuna maandazi ya mihogo, wachina bana

LAT ngoja nisome hii post yako mara kumi. . nikishawishika ntaenda nione kama na mimi naweza nikapenda though naogopa!!Hehehe. . .

Nini kingine ambacho hakijazoeleka sana umewahi kujaribu? Kaka yangu aliwahi kula konokono akasifia ni tamu kama kuku. . . mi nikifikiria tu tumbo linanivuriga.
 
And I'm saying this frankly,kama kuna kilichonikera kokote,iwe mambo ya family,work stuffs,etc. chakula (a good,delicious food) would wipe all that out!

Tena ukinijulia napenda nini.. Ndo unanimaliza kabisa... Kwangu the best surprise I adore,is a food that you know I like most...
Hata kama mpishi ndiye alinikera asubuhi,au usiku na asubuhi nikaondoka bila kuaga,nikirudi na mihasira yangu nikuta hiyo,tunaanza afresh...

Kwangu a good cook(Lizzy could be that sort,based on variety ya vitu anavyojua kupika),is a qualification to be a good wife..


Aisee we mzuri kweli. Yani chakula kizuri tu matatizo yote kisha kazi? Basi ukipata mke ambae ni mtaalamu jikoni mbona atakua na raha sana.


Enhe unapendelea vyakula gani zaidi?
 
LAT ngoja nisome hii post yako mara kumi. . nikishawishika ntaenda nione kama na mimi naweza nikapenda though naogopa!!Hehehe. . .

Nini kingine ambacho hakijazoeleka sana umewahi kujaribu? Kaka yangu aliwahi kula konokono akasifia ni tamu kama kuku. . . mi nikifikiria tu tumbo linanivuriga.

Lizzy

moja ya sifa za michunga ni uchungu, yaani ukiwa mbichi ni mchungu kuliko hata chloroquine lakini niliwahi kula mchunga uliopikwa na nazi ulikuwa mtamu sana na hauna uchungu, michunga pia ni dawa ya magonjwa mbalimbali

can you cook that
 
Lizzy

moja ya sifa za michunga ni uchungu, yaani ukiwa mbichi ni mchungu kuliko hata chloroquine lakini niliwahi kula mchunga uliopikwa na nazi ulikuwa mtamu sana na hauna uchungu, michunga pia ni dawa ya magonjwa mbalimbali

can you cook that

Sijawahi kupika LAT, ila bibi yangu alikua anapika. Ukila na ugali hata ule uchungu huupati kivile. .

Kama unataka kupika nadhani kupunguza uchungu unaweza ukauchemsha kidogo alafu umwage yale maji ndio uunge na nazi yako.
 
Aisee we mzuri kweli. Yani chakula kizuri tu matatizo yote kisha kazi? Basi ukipata mke ambae ni mtaalamu jikoni mbona atakua na raha sana.


Enhe unapendelea vyakula gani zaidi?

Sorry mtaa huu sikupita jana Lizzy...

Yaani huwezi kuamini Lizzy,mimi stress na hasira zangu zote zinadissolve na chakula kizuri ninachokipenda. Vyakula ninavyopendelea ni mapishi ya aina zote ya Ndizi(kasoro kuchoma na kukaanga),na Pilau.

Kingine Lizzy we umemuacha kwa mbali aliyekuwa my ........ kwani variety yako ni kubwa.. Ila alishanijulia akinipikia ndizi,anajua ananiweka kwenye mood gani na anawakilisha chochote nami natekeleza... Au tunapanga kitu tunafanikisha...

I miss those days...
 
Sorry mtaa huu sikupita jana Lizzy...

Yaani huwezi kuamini Lizzy,mimi stress na hasira zangu zote zinadissolve na chakula kizuri ninachokipenda. Vyakula ninavyopendelea ni mapishi ya aina zote ya Ndizi(kasoro kuchoma na kukaanga),na Pilau.

Kingine Lizzy we umemuacha kwa mbali aliyekuwa my ........ kwani variety yako ni kubwa.. Ila alishanijulia akinipikia ndizi,anajua ananiweka kwenye mood gani na anawakilisha chochote nami natekeleza... Au tunapanga kitu tunafanikisha...

I miss those days...

Aisee. . hapo kwa ndizi tuu. . hamia Uchaggani Au Bukoba ukafurahishwe kila siku. Kweli wewe unaonekana ni mtu rahisi sana kuishi nae.Hongera kwa hilo.

Alafu if you miss those days CREATE NEW ONES!!
 
Aisee. . hapo kwa ndizi tuu. . hamia Uchaggani Au Bukoba ukafurahishwe kila siku. Kweli wewe unaonekana ni mtu rahisi sana kuishi nae.Hongera kwa hilo.

Alafu if you miss those days CREATE NEW ONES!!

Mi chotara ya zote hizo mbili Lizzy...
Baba mashariki,mama Magharibi..

Toc reate new ones? Not now...
 
Hahaha wifi we mbona ni miss 'brag much'. . lolz

Duh. . .yani kama mimi. Sehemu ambazo najua msosi wao sio mi hua nasema sina njaa hata kama tumbo linanguruma. Na kama kulala kunanihusu ntajitolea kupika ili nijue angalau dinner hainipiti.

Mi vitumbua hua napika sema hua nasumbuka sana na zile chapati zake (sijui wanaziiitaje vile ). . .otherwise filling hua inakua mwake sana. Yani hapo hata nikifunga macho hamna kufeli.

Hahahaha unaringia chapati za kuchambuka ehhh? Embu tushindane siku moja . . . lolz. . .maana siri naijua sana!!
Mmh!
 
Nasubiri invitation ya dinner 😜 sikujua kama ni mpishi mzuri hivi kwenye mahanjumati.
. . .What are you Great at?!!

Nini ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula kama hawana akili nzuri? Au hawaachi kuomba uwaambie ulichoweka? Au hawaachi kutania kwamba lazima umeweka dawa au 'umepika bila nguo' lolz. . .ama wengine unashangaa wanaishia kupenda chakula ambacho hawakuwahi kukipenda mwanzo.

Mimi . . .
1. Maharage/makande, ya nazi au bila nazi. Nimefanya watu wasiopenda wananiuliza kila siku ntapika lini tena.
2. Ndizi na viazi, za nazi, mchemsho, samaki n.k. . ."lini tena nije kula" na "ntapata cha kuondokea ehhhhh?!" hua nyingi.
3. Cabbage ya nyama, na kachumbari za aina mbili hua hazikosi kuuliziwa.
4. Chapati. . . hehehe hizi hua zinanipa mtu wa kunisaidia kazi zangu kabisa. Nasema tu nnatamani kupika chapati ila sina nafasi mtu anajitoa mzima mzima.
5. Wali. . kwanzia pilau tulozoea, pilau ya mautundu binafsi, wali mweupe wa namna tofauti tofauti.
6. Kuku haswa wa kuoka. . hua nakua kichaa na spices and it always pay off.
7. Kitoweo (mchuzi) cha nyama au samaki. Wakati naanza kupika back in the days nilikua napata malalamiko sana wakati wa kula. . mchuzi ni mdogo. Kuna watoto tulikua tunaishi nao wenyewe walikua wanapenda wakidumbukiza tonge la ugali kwenye mchuzi ile kupeleka mdomoni mchuzi utiririke mkononi (I HATE THAT). . na kwenye wali waone punje zinaelea, but they eventually got over it.
8. Lasagne & pizza japo mimi silagi.
9. Samaki na nyama ya kuoka. . .lazima watu walambe vidole na kuuliza kama kuna iliyobaki.
10. Pork chops. . . nilimfundisha mtu miaka mitatu iliyopita mpaka leo haachi kunifagilia yeye akifagiliwa.
11. Chips . . . sikua najua ni nzuri kiviiiiile mpaka nilipoanza kuulizwa huwa nazifanyaje.
12. Na ya mwisho nnayokumbuka (samahanini msiopenda) KITIFAYA. . . yani hapo ndipo moto unapozimika.
 
Nasubiri invitation ya dinner 😜 sikujua kama ni mpishi mzuri hivi kwenye mahanjumati.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Sio kwa mfufuo huu aiseee!!!!πŸ™πŸΎ

Kuhusu mualiko ni wewe tu BAK Siku ukiamua unajialika mie naremba meza πŸ˜‰
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hahahahaha eti najialika lol!!! Huyu BAK alijialika kwangu siku moja kwa ajili ya dinner sasa naona kaweka kambi kabisa 🀣🀣🀣🀣🀣 kila baada ya siku mbili anakuja weekend yuko hapa eti anadai mapishi yangu kayapenda 😜😜😜😜
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Sio kwa mfufuo huu aiseee!!!!πŸ™πŸΎ

Kuhusu mualiko ni wewe tu BAK Siku ukiamua unajialika mie naremba meza πŸ˜‰
 
Hahahahaha eti najialika lol!!! Huyu BAK alijialika kwangu siku moja kwa ajili ya dinner sasa naona kaweka kambi kabisa 🀣🀣🀣🀣🀣 kila baada ya siku mbili anakuja weekend yuko hapa eti anadai mapishi yangu kayapenda 😜😜😜😜
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.....Kunogewa hakuzoeleki ujue?? Labda mpishi ashindwe ku-deliver! 😏

Cha msingi uwe unasaidia saidia walau kusuuza vyombo. Sio unakula ukimaliza unatulia kama vile sink hulioni πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ
 
Back
Top Bottom