Chakula gani ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula tena?

yes Lizzy, wanakuwa wazuri sana tena wale wadogo wadogo

nadhani pia unaweza kuwaoka,

umeshawahi kutaste fried crab
Wa kuoka sijawahi kula.

We LAT wewe. . . aisee mi crabs sijapata uthubutu wa kuonja kwakweli. Ladha yake ikoje?
 
Hehehehe waambie wawe wanakulipa.
Ila kweli kama wanakukubali sana unaweza ukafanya kawe kabiashara kako. Kuna ndugu yangu yeye ni keki, keki na yeye. Alikua anatengenezea watu bure baadae akaanza kuwatoza muda wake ukawa hauendi bure.

Chapati zinakushinda wapi tukupe somo?

nitalifanyia kazi, naweza pata kimradi hapo.

Sijui chapati nakosea wapi, ninapokanda huwa laini bila shida ila nikiweka jikoni na kuzipika (labda natumia moto mkali??) zinakakamaa kama KAUKAU
 
Wanawake wanaojua kupika Makande yakaiva na kunoga, naona amebakia Anna Kilango peke yake!!
 
Toka hapaaa! Lizzy kasema nae anajua!
Kwanza unajua 'mhawe' wewe? Mahindi yaliyokobolewa yanapikwa bila maharage na yanachanganywa na nyama ama mtindi.
Wanawake wanaojua kupika Makande yakaiva na kunoga, naona amebakia Anna Kilango peke yake!!
 
nitalifanyia kazi, naweza pata kimradi hapo.

Sijui chapati nakosea wapi, ninapokanda huwa laini bila shida ila nikiweka jikoni na kuzipika (labda natumia moto mkali??) zinakakamaa kama KAUKAU
Fanya hivyo bana. . .utakua unapata hata hela ya soda au madaftari ya watoto kama wapo.

Hahahaha. . .
Kitu cha kwanza, hua unaweka mafuta wakati wa kukanda? Ukiwa unasukuma hua zinataka kung'ang'ania kibao/meza/counter kwa mbali? Mwisho, ukishangaa hua unaweka kwenye chombo ambacho unaweza kufunika hewa isiingie?

Vyote hivyo ni muhimu. . .haswa kuzifunika ili zilainishwe na mvuke, alafu unatakiwa kila ukiweka unazigeuza, za juu zinaenda katikati, za chini zinakuja juu na za juu zinaenda chini. Pia jaribu kubadilisha aina ya unga ambao hua unatumia, maana hilo nalo linaweza likawa tatizo..
 
Toka hapaaa! Lizzy kasema nae anajua!
Kwanza unajua 'mhawe' wewe? Mahindi yaliyokobolewa yanapikwa bila maharage na yanachanganywa na nyama ama mtindi.
Eti kajifanya hajaona. . .aje nimpikie makande ya binzari ashangae!!Lolzzz


Wee wifi kisa cha kunikumbusha ya kale?
Sijawahi mimi kupika ya nyama ila zamani tulikua tunakula sana nyumbani, ule mchuzi wake mtamuuuu!!
 
Na wewe pia unatakiwa ujue kupika bana! Sio unaagiza tu kama uko kwa mama muuza,lol
Sasa hao wanaosema hawawezi kupika si ndiyo wanatukimbiza kabisa!! Misosi ya kupikiwa home ndiyo delicious lakini vya hotel ni vicious ila vinapambwa na matukio maalum
 
Mpotezee, lol!

Hayo sasa ya nyama ndo yanapikwa kama pilau na binzari na nazi, acha kabisa! Hayafai kwa dinner manake hukawii kushindwa kulala kwa vichomi,lol!

Eti kajifanya hajaona. . .aje nimpikie makande ya binzari ashangae!!Lolzzz


Wee wifi kisa cha kunikumbusha ya kale?
Sijawahi mimi kupika ya nyama ila zamani tulikua tunakula sana nyumbani, ule mchuzi wake mtamuuuu!!
 
Mpotezee, lol!

Hayo sasa ya nyama ndo yanapikwa kama pilau na binzari na nazi, acha kabisa! Hayafai kwa dinner manake hukawii kushindwa kulala kwa vichomi,lol!
Hahahaha. . itabidi niangalie uwezekano wa kujiridhisha na makande ya nyama, kumeza mate tu hakukubaliki.

@RR nakusubiria mwaya!!
 
ha ha ha ha, neno hilo
tatizo la kitaifa

nitalifanyia kazi, naweza pata kimradi hapo.

Sijui chapati nakosea wapi, ninapokanda huwa laini bila shida ila nikiweka jikoni na kuzipika (labda natumia moto mkali??) zinakakamaa kama KAUKAU
 
All has been said! labda mimi nitoe maujuzi ya kiufundi tu (Tricks of the Trade :eyebrows:)
- lemon juice stops the oxydation process ya fruits and vegetables, kwa hiyo ukifanya salad au fruit mix na hutaki vibadili rangi tumia maji ya limao kwa mbali.
- Kama ni vegetable za kupika basi tumia bicarbonate of soda kidogo kwa mbali (mfano mchicha, njegere mbichi) and they will keep the gree color that caracterizes freshness
- Ukipika ndani ya nyumba vitu kama maharage au cabage, vinaweza kutoa harufu fulani (mi siipendi). weka kipande cha mkate ndani ya maji au drops za vinegar... harufu itakua neutralized
- If you like garlic (kama mimi) hakikisha una tafuna a clove after meal, inatoa ile harufu ya garlic na kuireplace with a fresh fragrance.
- Remember: It is as important that the food looks as nice as it smells and tastes. Hakikisha presentation yako imekaa sawa, no matter the food! Hapa chini picha ya kuku/spinach from two different cooks. It might taste the same but...
l-autre-plat-principal.jpg


epinards_2.jpg
 
hata upakuaji kwenye sahani nao unahusu
unakuta mtu kakivurugua chakula kwenye sahani hadi wewe jirani anakuchosha kula.
Ndio hiyo nimejaribu kuonesha kwa picha hizo mbili hapo juu. same recipe, same ingredients ila presentation sasa...
 
haapo kwenye kufunika hewa siingie huwa sifanyi hivyo. Yaani umenihamasisha kesho nitapika nifate
haya maelekezo, then nione zitatokaje..

Fanya hivyo bana. . .utakua unapata hata hela ya soda au madaftari ya watoto kama wapo.

Hahahaha. . .
Kitu cha kwanza, hua unaweka mafuta wakati wa kukanda? Ukiwa unasukuma hua zinataka kung'ang'ania kibao/meza/counter kwa mbali? Mwisho, ukishangaa hua unaweka kwenye chombo ambacho unaweza kufunika hewa isiingie?

Vyote hivyo ni muhimu. . .haswa kuzifunika ili zilainishwe na mvuke, alafu unatakiwa kila ukiweka unazigeuza, za juu zinaenda katikati, za chini zinakuja juu na za juu zinaenda chini. Pia jaribu kubadilisha aina ya unga ambao hua unatumia, maana hilo nalo linaweza likawa tatizo..
 
All has been said! labda mimi nitoe maujuzi ya kiufundi tu (Tricks of the Trade :eyebrows:)
- lemon juice stops the oxydation process ya fruits and vegetables, kwa hiyo ukifanya salad au fruit mix na hutaki vibadili rangi tumia maji ya limao kwa mbali.
- Kama ni vegetable za kupika basi tumia bicarbonate of soda kidogo kwa mbali (mfano mchicha, njegere mbichi) and they will keep the gree color that caracterizes freshness
- Ukipika ndani ya nyumba vitu kama maharage au cabage, vinaweza kutoa harufu fulani (mi siipendi). weka kipande cha mkate ndani ya maji au drops za vinegar... harufu itakua neutralized
- If you like garlic (kama mimi) hakikisha una tafuna a clove after meal, inatoa ile harufu ya garlic na kuireplace with a fresh fragrance.
- Remember: It is as important that the food looks as nice as it smells and tastes. Hakikisha presentation yako imekaa sawa, no matter the food! Hapa chini picha ya kuku/spinach from two different cooks. It might taste the same but...
l-autre-plat-principal.jpg


epinards_2.jpg

Ohhh ahsante RR. . . nimependa sana hiyo ya kutumia mkate. Sie uChaggani hua tunatumia sana magadi kwenye vyakula asili ya maharage na mahindi. . rangi inakoleeea mpaka raha.

Ngoja na mie nishee maujanja. .
1. Kwa bahati mbaya wali wako ukiungua kidogo unaweza ukatumia kitunguu kuua/poteza ile harufu. Kikate katikati alafu chukua kipande kimoja ukikate tena, ukimaliza toboa wali wako katikati, weka alafu fukia uache hata mpaka wakati wa kupakua ndio utoe. Haijalishi kama bado uko jikoni (haujaiva vizuri) au la.

2. Mboga/mchuzi ukizidi chumvi. Kuongeza maji hakutosaidia maana yakipungua baada ya kuchemka halu itakua ile ile. Chukua kiazi kimoja kikubwa au vidogi viwili, kimenye, kata katikati, osha alafu weka kwenye mboga yako. Vitanyonya ile chumvi, ukionja ukaridhika basi vitoe.

3. Kwa wale wapenzi wa vitunguu kama mimi. . .
Kuna ile style ya kukaanga vitunguu pembeni. . ukitaka vilainike vizuri weka a pinch of salt and sugar, vitakua laini and slightly sweet.

4. Kama unakaanga nyama kuepuka kuungua/kamata sufuria kua na maji pembeni. Kila baada ya dakika chache unasogeza nyama pembeni alafu unanyunyizia maji (kwa mkono tu au kijiko) kwenye ile sehemu inayoungua sana then unarudisha nyama na kukoroga. Kwanza haitoungua wala kushika sufuria, pili ladha inakua maintained alafu inapata ulaini fulani hivi.

5. Ukitaka viazi/vitunguu visiharibike weka sakafuni au kwenye friji.

6. Kuondoa/punguza mafuta kwenye vyakula vya kukaanga (maandazi, vitumbua, samaki, chips n.k) tandika layer mbili-tatu za paper towel kwenye chombo cha kupakulia.
 
Hahaha! Sio sahani tu na usafi wakati wa kupika! Nachukia mtu anaemenyea nyanya sakafuni!
Hiyo misosi RR, kwani huo wa kwanza mtu aliula akashindwa kulipa akaurudisha ama?
Hiyo ya bicarbonate umenipa mupya. Nisaidieni jinsi ya kuhifadhi vegetables kama chinese cabbage na couliflower.
 
Back
Top Bottom