Kupenda unavyopenda: Hizi kingo ni za nini?

Naiba GY...

sizipendi kweli kingo hizo, lakini tutafanyaje na wao bila kuta hawalali?
 
Naiba GY...

sizipendi kweli kingo hizo, lakini tutafanyaje na wao bila kuta hawalali?

Mkuu nina mashaka na soba yako, huwezi kimbilia konklusheni namna hiyo
 
Inawezekana kupenda wawili au zaidi....ila kwasababu moja ama nyingine mmoja unakuwa nae karibu zaidi....i have loved two people vibaya mno at the same time......na najua kupi kutamani na kupenda........its possible....ila ndo kama hivyo HAIKUBALIKI.
 
Mkuu nina mashaka na soba yako, huwezi kimbilia konklusheni namna hiyo
niko soba kama mwanangu nwenyewe... wanasema ikiuma sema, basi miye ndo hapo imebidi tu nikubali kwamba kingo zinauma ntafanyaje sasa?

wenyewe wanasema ni quality control measures
 
Inawezekana kupenda wawili au zaidi....ila kwasababu moja ama nyingine mmoja unakuwa nae karibu zaidi....i have loved two people vibaya mno at the same time......na najua kupi kutamani na kupenda........its possible....ila ndo kama hivyo HAIKUBALIKI.


hayo ndo makingo yenyewe sasa,lol..
hujambo lakini wewe binti?
 
Inawezekana kupenda wawili au zaidi....ila kwasababu moja ama nyingine mmoja unakuwa nae karibu zaidi....i have loved two people vibaya mno at the same time......na najua kupi kutamani na kupenda........its possible....ila ndo kama hivyo HAIKUBALIKI.

najua kabisa namna roho yako ilivyojikita kwa Husninyo huku moyo ukiwa kwangu...najua na naheshimu sana hiyo nechero
 
Uwehu ndo unaanzaga ivoivo... kwanza hii mada umeiweka kimahabamahaba wakati tunajadili vitu serious vya kisiasa hapa... unataka kupenda ccm na cdm kwa sababu baada ya c ni d? au unataka kumpenda juma na asha... ufaidi vyote kote kote wakati wote? HUOGOPI UKIMWI.. SORE, HUOGOPI KUITWA MWANAINTELIJENSIA WA UPANDE MWINGINE?

PS. maoni yangu yanachanganywa na kutoelewa tunaongea siasa au usharobaro!!!
 
naomba ili tuwe kwenye mstari mmoja, asili hapa isimame kwa mambo ambayo binadamu hatuna control nayo, kama nilivyosema hatuwezi kufikiri kwa kutumia kisigino hata kama tungependa kufanya hivyo....

Then turudi kwenye hoja bob


orait in that sense.....asili inabaki kuwa asili

Then tunaweza kubadilisha kile ambacho sisi tulikifabricate....au sio.....hilo kawaida kabisa mkuu

Anything hapenned?
 
Karibu mkuu,sioni kibatani cha thanks kikirudi ntakong'oli


What is socially wrong is not necessarily naturally wrong.


See...? Thats (ooh my nilitaka kuandika nini tena hapa)

I mean, then if we consider the social aspect... we can 'construct and deconstruct' it accordingly, can't we?
 
Ndio kuna kupenda sana na kupenda kidogo!Ndo maana hata kati ya marafiki zako kuna unawathamini na kuwajali zaidi ya wengine..yote inatokana na mapenzi uliyonayo juu yao!

Sawa kabisa Lizzy, na kuna marafiki ambao hata simu na updates kila saa.Ukisikia kuna daladala imepata ajali mbagala unamcheki manake unajaua leo alikuwa na safari ya huko. Na kuna marafiki,sio kama huwapendi, mnawasiliana wakati wa sikukuu na shida zaidi.
 
Uwehu ndo unaanzaga ivoivo... kwanza hii mada umeiweka kimahabamahaba wakati tunajadili vitu serious vya kisiasa hapa... unataka kupenda ccm na cdm kwa sababu baada ya c ni d? au unataka kumpenda juma na asha... ufaidi vyote kote kote wakati wote? HUOGOPI UKIMWI.. SORE, HUOGOPI KUITWA MWANAINTELIJENSIA WA UPANDE MWINGINE?

PS. maoni yangu yanachanganywa na kutoelewa tunaongea siasa au usharobaro!!!

Duh......haya mzee
 
Sijui niiwekeje,maybe kwa magari: Vits convinience yake haikuli mafuta sana na spares labda ni bei rahisi, ila shida mwendokasi na comfortability. Tukienda kwa benzi iko comfortable na mwendo pia,status juu,issue mafuta na spares. Hapo vipi?Sasa nadhani ndo kuna watu wanakuwa nazo sote,na wanazipenda kwa sababu tofauti,ila sasa benzi ni ya wknd,vits ya siku za kazi....kuna swali la nyongeza mkuu?
Eeheee!!! sasa unaanza kuelekea kwenye point yangu ya unapenda nini sio unapenda sana........sasa turudi kwenye hoja, kupenda vitz na benz kwa tofauti zake inakuja nachurale? kwa hiyo kama unaishi usalule, unahitaji 4 WD, je ukiwa na 2WD kwa wakati huo, utaipenda kwa vile inakula mafuta kidogo? na je itakuwa nachurale?

BACK TO BASICS: inawezekana kupenda 1+ kwa convinience (hapa si sawa na kubadili mboga, ieleweke vizuri) ni swala la matumizi na satisfaction derived from aina ya matumizi uliyoichagua.
Now, kwasababu human being sio magari, wana feeling, tufanye Vitz na Benz zingekuwa na feelings, je moja ingejisikia kupendwa zaidi na nyingine ingejisikiaje?.....Je wewe unakuwa unajisikiaje kuhusu kujisikia kwa Vitz sasa!!
 
orait in that sense.....asili inabaki kuwa asili

Then tunaweza kubadilisha kile ambacho sisi tulikifabricate....au sio.....hilo kawaida kabisa mkuu

Anything hapenned?

Ni soba feeling tu na ni kawaida kutokea ijumaa
 
niko soba kama mwanangu nwenyewe... wanasema ikiuma sema, basi miye ndo hapo imebidi tu nikubali kwamba kingo zinauma ntafanyaje sasa?

wenyewe wanasema ni quality control measures

makingo = quality and quantity control measure
 
Back
Top Bottom