Lol!!!! Halafu GY nimeishakugunduaConnect zem dots hapo dogo halafu come again
Hili ni swali au ni comment lol!!!!stakuuliza kwanini lakin nambie kwanini watu wanafanya ivo
Unazungumzia kupenda kule kama weweeeeeeeeeeee anavyopenda ndovujamani tuache ushabiki jamani, tusimezwe na mjadala tukasahau sheeeerya na kanuuuuuun, jamani tujibu hoja
umegundua nini sasa
hii sredi ni muhim sana. mnaombwa kuwa serious katika kuchangia.
asanteni
No its not possible, thou kwa mtu mwenye binafsi atasema anawapenda wote MWANAHAWA na MWANAMTAMA lakini ukweli ni kwamba mmoja tu ndio ataweza kutawala moyo wako
hapana jamani, tusichanganye kupenda na kupenda sana, unaweza kupenda watatu ila mmoja ukampenda sana
Inawezekana sana tu.......ila kusiwe na strings attached.Kwa wakati mmoja
Tatizo maswala ya fairness ni Kingo hiyo tuliyojiwekea wenyewe!Thats the thing..hautakua fair kwa usiempenda sana!
Hakuna.Thats the thing..hautakua fair kwa usiempenda sana!
Nafikiri kutamani ndio Overdrive halafu kupenda inaweza ikawa sababu nyingine ya kuwahi kupanga viti na mezaHakuna.
Kuna kupenda na kutokuwa sure kama unapenda...hakuna kupenda kidogo, kupenda then kupenda sana!
Kwani kupenda in Overdrive?