Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...ningeyasema bayana lakini naogopa kuzifufua chuki zilizopita. Poza roho ndugu kwa yaliyokupata kwa sababu ya kupenda. Pendo lako limekuwa kama limepita na maji ndani ya ziwa ukabaki na huzuni.
Najua penzi ni donda la rohoni lakini usichukie. Ukutanapo na mwenzio tabasamu "hallo" mfariji ukiweza.
Ukae ukielewa kupenda sio ndoto ya usiku mmoja
Najua penzi ni donda la rohoni lakini usichukie. Ukutanapo na mwenzio tabasamu "hallo" mfariji ukiweza.
Ukae ukielewa kupenda sio ndoto ya usiku mmoja