Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Pamoja na kuwa mapenzi
yanaundwa kutokana
na hisia, na huwa hayachaguwi ni kwa
nani na wakati gani yajitokeze bali huwa yanatokea aotomatic.
Mbali ya kuwepo hali hali
hiyo nina maswali machache
tu ya kupata mtazamo wenu.
(1) Inakuaje unaziachia
hisia zako kwa mtu ambaye
hujamuona?
(2) Je uhalisia wake ukiwa chini ya makadirio uliyojiwekea juu yake utamuacha/mtaachana?
Tuseme umependezwa naye
kupitia picha zake
alizoweka (iwe ni jf, fb au kwengineko), (3) Je ni
sawa kufall katika penzi kupitia picha hizo?
(4) Na kwa uhakika gani uliyonao kuwa hizo picha ni zake kweli?
Tuchukulie picha ni zake kweli,
(5) Je yeye siyo katika wale wanaopoteza uhalisia wao baada ya kujipambamba na kushindwa
kutambuliwa na hata
watu wao wa karibu ikiwa
watapishana njiani?
(6) Au ndiyo tuseme wanaopenda kwa kutumia
staili hii ndo wanatia mkono gizani?
Wajuwe tu kuna kupata au kupatikana.
Kama uko nao ka mtindo huo, jifunze kuuacha.
(7) Na sijuwi utapenda wangapi kwa kutumia mtindo huu.... take care...
yanaundwa kutokana
na hisia, na huwa hayachaguwi ni kwa
nani na wakati gani yajitokeze bali huwa yanatokea aotomatic.
Mbali ya kuwepo hali hali
hiyo nina maswali machache
tu ya kupata mtazamo wenu.
(1) Inakuaje unaziachia
hisia zako kwa mtu ambaye
hujamuona?
(2) Je uhalisia wake ukiwa chini ya makadirio uliyojiwekea juu yake utamuacha/mtaachana?
Tuseme umependezwa naye
kupitia picha zake
alizoweka (iwe ni jf, fb au kwengineko), (3) Je ni
sawa kufall katika penzi kupitia picha hizo?
(4) Na kwa uhakika gani uliyonao kuwa hizo picha ni zake kweli?
Tuchukulie picha ni zake kweli,
(5) Je yeye siyo katika wale wanaopoteza uhalisia wao baada ya kujipambamba na kushindwa
kutambuliwa na hata
watu wao wa karibu ikiwa
watapishana njiani?
(6) Au ndiyo tuseme wanaopenda kwa kutumia
staili hii ndo wanatia mkono gizani?
Wajuwe tu kuna kupata au kupatikana.
Kama uko nao ka mtindo huo, jifunze kuuacha.
(7) Na sijuwi utapenda wangapi kwa kutumia mtindo huu.... take care...