Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
Eti wanajamii kati ya kupenda (love) na kutamani (lust) kipi kinaanza?
ila wadada nao hawaendi na wakati wanajua wakimkubalia mwanaume siku ya kwanza wataonekana hawajatulia, yaani hadi wazungushe zungushe sana.
Eti wanajamii kati ya kupenda (love) na kutamani (lust) kipi kinaanza?
Nyamayao kwani inachukua muda gani kujua mtu unampenda? mm najua ni suala la kuusikiliza moyo wako? sijui kama utaenda nyumbani ukajiuliza nimpende au nisimpende
Eti wanajamii kati ya kupenda (love) na kutamani (lust) kipi kinaanza?
Nyamayao kwani inachukua muda gani kujua mtu unampenda? mm najua ni suala la kuusikiliza moyo wako? sijui kama utaenda nyumbani ukajiuliza nimpende au nisimpende
'Kupenda' ni jitihada ya makusudi haiji kwa bahati. Unaamua 'kupenda' lakini huwezi kuamua 'kutamani'. Kutamani (lust/infatuation) ni hisia zaidi. Kwa mantiki hii, mara nyingi tunatangulia kutamani zaidi na si kupenda.
Nyamayao kwani inachukua muda gani kujua mtu unampenda? mm najua ni suala la kuusikiliza moyo wako? sijui kama utaenda nyumbani ukajiuliza nimpende au nisimpende
Eti wanajamii kati ya kupenda (love) na kutamani (lust) kipi kinaanza?
mimi kwangu kumpenda mtu inachukua muda kidogo, siwezi kukutana na mtu leo nikasema nimempenda.