kupenda na kutamani

mie naona kutamani ndio inaanza then inafuata upendo/mapenzi.
enzi hizo kila mwanaume aliekuwa ananitokea nilijiwekea kama anatamani vile, mana usipokuwa makini unaweza kudhani/kuhisi kwamba hiyo kutamani ndio kupendwa kwenyewe huko, kujua mtu anaekupenda kwa mara moja huwa ni ngumu kidogo, ina hitaji muda kujua yapi mapendo.
 
ila wadada nao hawaendi na wakati wanajua wakimkubalia mwanaume siku ya kwanza wataonekana hawajatulia, yaani hadi wazungushe zungushe sana.
 
ila wadada nao hawaendi na wakati wanajua wakimkubalia mwanaume siku ya kwanza wataonekana hawajatulia, yaani hadi wazungushe zungushe sana.

hivi kukutana siku ya kwanza nikakukubali ndio itamaanisha nakupenda?
 
Eti wanajamii kati ya kupenda (love) na kutamani (lust) kipi kinaanza?

Hakuna msingi wa kinaanza kipi kama kuku na yai kwa sababu kupenda na kutamani ni vitu viwili tofauti.
Kupenda ni mambo ya moyoni na kutamani ni mambo ya mwilini. Unaweza kumpenda Mungu lakini huwezi kumtamani Mungu.
Kupenda kunakidhi haja za moyo na msingi wake ni vitu visivyoonekana, moyo, tabia, wema, ukarimu, unyenyekevu, ustahimilivu, upole etc.
Kutamani ni vitu vinaonekana, kama sura, umbo, figure,shape,rangi, miondoko, sauti, pua, mwanya, dimples, nywele etc.
Ukifanikiwa kukipata unachokipenda, hukiweka moyoni na kupata feeling ya gratification na kupenda kunaendelea. Ukifanikiwa kupata kitu unachotamani
Unapata sense of achievment, na kutamani kunaishia hapo baada ya kukipata unachokitamamu na hamu ikiisha unaweza kukitupa wakati pendo ni la moyoni ndio maana haliishi.
Kuna watu wanashindwa kutofautisha love na lust katika suala zima la mapenzi. Kijana akimuona msichana mrembo mwenye umbo la kuvutia, anaweza kumtamani
ili kutimiza haja za matamanio ya mwili wako na ukaamua kumfuuatilia ili upate unachokita. Katika kumfuatilia, unaweza kugundua qualities za huyo dada ikiwemo tabia njema, ukajikuta unampenda.
Vijana wengi wanatamani na kujifanya wanapenda.
Ili upende, one needs time. Hakuna kitu kinachoitwa love at first site, hiyo ni tamaa. Love is gradual process, lust is instant.
 
Nyamayao kwani inachukua muda gani kujua mtu unampenda? mm najua ni suala la kuusikiliza moyo wako? sijui kama utaenda nyumbani ukajiuliza nimpende au nisimpende
 
Nyamayao kwani inachukua muda gani kujua mtu unampenda? mm najua ni suala la kuusikiliza moyo wako? sijui kama utaenda nyumbani ukajiuliza nimpende au nisimpende


Vipi hapo umempenda au umemtamani?
 
Eti wanajamii kati ya kupenda (love) na kutamani (lust) kipi kinaanza?

Kile kinacholeta mzuka wa nguvu. Kwa mtazamo wangu kutamani ni bomba sana kuliko kupenda ingawa kunadumu kwa muda mfupi. Wengi wanatumia kupenda kama wanataka kuoa ingawa inakuwa na hatari kwamba unaweza kuwa na mtu ambaye hapandishi mzuka wako kisawa sawa!
 
'Kupenda' ni jitihada ya makusudi haiji kwa bahati. Unaamua 'kupenda' lakini huwezi kuamua 'kutamani'. Kutamani (lust/infatuation) ni hisia zaidi. Kwa mantiki hii, mara nyingi tunatangulia kutamani zaidi na si kupenda.
 
Nyamayao kwani inachukua muda gani kujua mtu unampenda? mm najua ni suala la kuusikiliza moyo wako? sijui kama utaenda nyumbani ukajiuliza nimpende au nisimpende

Niaminivyo mimi,kupenda ni kama vile barafu.Barafu ukiiweka katika friza uwa ngumu kiasi cha kumtoa mtu ngeo kama atapigwa nayo,ingawa bafaru ile ile ukiiweka juani uyeyuka na hata maji kupotea kama hautakuwa makini.Ni kweli unaweza kwenda nyumbani na kujiuliza nimpende huyu binadamu au nisimpende,na ndo mana unasema unausikiliza moyo.Kupenda is a process ni mara chache utokea on your first site.Unauruhusu moyo kumpenda mtu fulani au laa.
 
'Kupenda' ni jitihada ya makusudi haiji kwa bahati. Unaamua 'kupenda' lakini huwezi kuamua 'kutamani'. Kutamani (lust/infatuation) ni hisia zaidi. Kwa mantiki hii, mara nyingi tunatangulia kutamani zaidi na si kupenda.

Asante mkuu,kupenda ni jitihada za makusudi na ni kwa sababu hiyo ili uonekane unapenda ni lazima uoneshe kwa vitendo kwamba unapenda,na uwezi ukawa unapiga ngonjera tu unajua mie nakupenda huku vitendo vinavyoonesha hilo hakuna,na ukategemea watu watakuelewa
 
Nyamayao kwani inachukua muda gani kujua mtu unampenda? mm najua ni suala la kuusikiliza moyo wako? sijui kama utaenda nyumbani ukajiuliza nimpende au nisimpende


mimi kwangu kumpenda mtu inachukua muda kidogo, siwezi kukutana na mtu leo nikasema nimempenda.
 
Tatizo la kina dada wengi ni usumbufu na kumzungusha mwanaume wao wanaona kama ndo kipimo tosha cha kupima mtu kama anampenda au lah kumbe si kweli kuna wanaume wanavumilia hata miaka 2 akila mzigo tu anakula kona na kusema alikuwa ananizungusha muda wote kitu chenyewe ni hiki na hakina kiwango kwanza mambo hajui n.k
mwanamke anakapo anza kuonyesha kuwa anampenda mwanaume jamaa moyo usha yeyuka kama barafu.
 
Eti wanajamii kati ya kupenda (love) na kutamani (lust) kipi kinaanza?

...unatamani kwanza, kisha unaanza kupenda. Kumbuka, kupenda ni kitendo kinachoendelea, matamanio yanakuja na kuondoka...

...unaweza kutamani bila kupenda, lakini huwezi kupenda bila kutamani. Kutamani ni, a desire to be fulfilled, kupenda ni, a matter of choice!
 
Haya yote yanaenda pamoja ila linalo anza ni kutamani,hii hali huja ghafla tu ukatamani na ukashindwa kujizuia lakini kupenda kunaanza taratibu then upendo unaongezeka na kukua.
 
Unaanza kutaman
Love maana yake nyingine ni zuzoea
Foristance yu love yur mother
 
Back
Top Bottom