unampenda mumuo, unaitamani ndizi yake
unampenda mumuo, unaitamani ndizi yake
Hivi haujaacha kunitamani tu l.o.l!!!dah kwa kweli .
uje darasa la sita B
ntakwambia ....
unampenda mumuo, unaitamani ndizi yake
Hivi haujaacha kunitamani tu l.o.l!!!
Hata sijawahi huwa nasikia watu wanatamani sasa sielewi maana yake ni nini, mimi najua kupenda tu l.o.lhivi umewahi kutamani?
Hivi haujaacha kunitamani tu l.o.l!!!
Hata sijawahi huwa nasikia watu wanatamani sasa sielewi maana yake ni nini, mimi najua kupenda tu l.o.l
Tulia na jiko la nyumbani, hayo ya njiani hayafai!!katavi kidogo hapo umenisaidia kumbe kutamani ni "TAMAA"duh manake jiko lipo nyumbani lakini bado nakodolea mengine ya njiani!
Aisee wewe unanitafutia kesi ngoja nije huko mlimanihahaha!ila unajua ukipenda kuna muda utatamani?????????nimekumiss lkn