Kupenda na kutamani!

Jidu

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
1,232
754
hebu nijuzeni juu ya hizi hali kwani zinanichanganya na kutokujua ni wakati gani napenda au kutamani?
 
Kutamani====TAMAA----------tamaa mbaya!!!
Kupenda====????????
 
Kutamani====TAMAA----------tamaa mbaya!!!
Kupenda====????????
katavi kidogo hapo umenisaidia kumbe kutamani ni "TAMAA"duh manake jiko lipo nyumbani lakini bado nakodolea mengine ya njiani!
 
Mabomu ya mbagala yalipolipuka watu walisahau wanayoyatamani, na wakaokoa wanayoyapenda.

Mfano ni kuokoa nafsi yako h'fu nyuma ukaacha watoto, nyumba, magari, pesa, mke, mchumba, mume, n.k.

Usishangae kuona mchaga anakufa akiokoa pesa yake isiungue moto...ndo mahaba hayo...

Tamaa ina aibu, mfano mtu anatamani tinginya lakini anaona aibu kukatisha nalo mtaani, Kupenda hakuonei aibu unachopenda.

Penzi la tamaa hufanyika kwa siri, Penzi la kupenda halifichiki.

Siku nikipenda nitakutumia Kitabu changu chenye volume kama 7 kuhusu somo hili. Natamani nifanye hivyo ila nashindwa...
 
katavi kidogo hapo umenisaidia kumbe kutamani ni "TAMAA"duh manake jiko lipo nyumbani lakini bado nakodolea mengine ya njiani!
Tulia na jiko la nyumbani, hayo ya njiani hayafai!!
 
Thru matamanio hujikuta tunapenda......

Tunaanza kutamani hala fu mwisho tunapenda.......
 
Back
Top Bottom