hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
siwezi
what about a get together......:hungry:
siwezi
with vodacom?what about a get together......:hungry:
Lakini mlishare nini tena tofauti na kiti?network ilikata anaitwa chacha mwita
story yaani ndo kalove kalikua kanaanza ndo ivo kanjiwa kangu kamepeperushwa 4ever jamaniLakini mlishare nini tena tofauti na kiti?
with vodacom?
haya bwanai prefer TIGO....its good to talk more....dont u think?
Hahahaha.....! Kumbe ulitamani gari liharibikie Namanga mlale hadi kesho....! Au huenda ilifika Dar lakini siku mbili baadaye ndio ukaingia nyumbani?story yaani ndo kalove kalikua kanaanza ndo ivo kanjiwa kangu kamepeperushwa 4ever jamani
What......????!!!!!!!!!i prefer TIGO....its good to talk more....dont u think?
home walinipokea stendi hata kiss sikupata just simpe hug but memorable and sweet oneHahahaha.....! Kumbe ulitamani gari liharibikie Namanga mlale hadi kesho....! Au huenda ilifika Dar lakini siku mbili baadaye ndio ukaingia nyumbani?
Bebiiiiii......home walinipokea stendi hata kiss sikupata just simpe hug but memorable and sweet one
ndivo ilivokuwa bwanaBebiiiiii......
What......????!!!!!!!!!
Naitwa NYENJENKURU kwa sasa nipo Kampala Uganda napatikana kwa mob no +256775881715umenikumbusha nilikuwa nimemaliza shule kwenye basi akapanda gari mkaka mmoja nrb gari ilikuwa imejaa kabisa alikuwa anawai issue zake dsm akangangania kupanda hata kama hamna siti, akasimama akachoka then akaniambba akae kidogo tukawa tunashear siti yangu hadi tukafika akanipa no yake nikaipoteza na mimi nilimpa ya sister. nadhani alimpigia sister hawakuelewana maana sister aliniambia kuna wenzako wa shule wanakutafuta kwenye no yangu sema siwaelewi maana kuna mvulana anasema alisoma na wewe sasa mimi nilisoma girls sister akaamua kumpotezea. yaani its almost 8 years now lakini namkumbuka sana i wish ningempata sasa hv. he is always in my mind with all my love anaitwa
network ilikata anaitwa chacha mwita
Bebii kuna methali isemayo Mapenzi ya kwenye basi huishia kituoniumenikumbusha nilikuwa nimemaliza shule kwenye basi akapanda gari mkaka mmoja nrb gari ilikuwa imejaa kabisa alikuwa anawai issue zake dsm akangangania kupanda hata kama hamna siti, akasimama akachoka then akaniambba akae kidogo tukawa tunashear siti yangu hadi tukafika akanipa no yake nikaipoteza na mimi nilimpa ya sister. nadhani alimpigia sister hawakuelewana maana sister aliniambia kuna wenzako wa shule wanakutafuta kwenye no yangu sema siwaelewi maana kuna mvulana anasema alisoma na wewe sasa mimi nilisoma girls sister akaamua kumpotezea. yaani its almost 8 years now lakini namkumbuka sana i wish ningempata sasa hv. he is always in my mind with all my love anaitwa