20%najiachia mwenyewe nishasema awali!
majambazi yakiingia na kuanza kumpiga mpenzi wangu,nitamsaidia kutoka kny ule 80% upendo!LOL
.....endapo on the other hand,yameingia tu na kutukuta wawili...yakasema nichague kufa ili mpenzi wangu aachwe...nitakuwa siko tayari kufanya hivyo,this be ufisadi wa mapenzi,and whatever name you call it...ukweli utabaki siko tayari kufa!,kwa ajili ya mtu!
...mwisho unfortunately,tumezaliwa mazingira tofauti,tumekulia ktk background tofauti zinazotufanya tuwe na mtazamo tofauti...likija suala la mapenzi...!,usinione 'abnormal'..nikisema napenda 80%.....niko sawa tu na yule anayependa 100%...kama yupo LOL!
Watu kama wewe ndiyo hamjui maana ya mapenzi mnayachukulia juu juu tu na kuingia kwa pupa na hatimaye kuharibu maana nzima ya mapenzi. Ishi mwenyewe ujipe hiyo 100% yote. Eti 20% najiachia mwenyewe! Ukipendwa pendeka binti! acha ufisadi katika mapenzi wa kumpenda mtu nusu nusu!