BANGAMBONDA
Member
- Jul 14, 2011
- 7
- 2
Nakerwa na tabia ya watu fulani kuongea kwa sauti kubwa kwa simu ya mkononi kiasi cha kudraw attention ya wengine, wakashindwa kuconcentrate namambo yao kipindi hicho wakimsikliza yeye. Nadhani hii si uungwana. Au vipi?