Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

nuruyamnyonge asante kwa kushare ujuzi wako nasi. Mimi naomba makadirio ya kupauwa kama ifuatavyo..
1.ukubwa wa nyumba ni 16.4M x 14.05M
2.Bati nitatumia migongo midogo za g30 za 3M x 0.84M ngapi? bei gani?
3. Mbao treated kila Ukubwa, idadi na garama yake
Natanguliza shukrani.
 
Karibuni JEWS CONSTRUCTION inapatikana Kerege na Bunju.

Tuna supply vifaa vya ujenzi.

Tume establish kiwanda cha matofali kilichopo Kerege na Bunju.

Tunatoa tofali zenye ubora wa hali ya juu, kwa mfuko mmoja wa 42.5R tunatoa tofali 28 hadi 30 za inchi 6 na bei ni 1200 kwa kila tofali moja mpaka site, na kwa inchi 5 tunatoa tofali 35 tu na bei ni 1150 mpaka site. Ukitaka nyingi tunaongea bei inashuka.

Tunasupply popote Tanzania. Nje ya Dar es Salaam tunapeleka mashine mpaka huko na kazi inafanyiwa site.

Karibuni sana.

Kwa mawasiliano piga simu 0653 121 230
 
Mkuu ufundi wa kuezeka tu mil 3? @zembemkuu
Huyo mbona rahisi sana, nenda kawaulize wale mafundi wanaozubaa-zubaa pale Nabaki Afrika, wanaanzia million 8, kuezeka tu, wanakwambia mabati yale yana utaalaam wake.

Cheap is expensive.
 
Huyo mbona raisi sana, nenda kawaulize wale mafundi wanaozubaa-zubaa pale Nabaki Afrika, wanaanzia million 8, kuezeka tu, wanakwambia mabati yale yana utaalaam wake.

Cheap is expensive.
Hahaha!! Ukiingia kichwa kichwa lazima upigwe kwa rate ya dola!
 
msivunjane moyo hapa ml 6 tu inatosha. Hesabu hii hapa. Bati mnazoita za South gauge 28 mita 3 bati 100@27500 = 2,750,000= weka ml 1 mbao na ml 1 fundi. Umemaliza kazi.
kwa bati mia mbao za milioni moja hazitoshi. vilevile kumbuka kuna misumari na makoa ambapo kwa bati mia misumari ya bati ni karibu kg 25
 
Karibuni JEWS CONSTRUCTION inapatikana Kerege na Bunju.

Tuna supply vifaa vya ujenzi.

Tume establish kiwanda cha matofali kilichopo Kerege na Bunju.

Tunatoa tofali zenye ubora wa hali ya juu, kwa mfuko mmoja wa 42.5R tunatoa tofali 28 hadi 30 za inchi 6 na bei ni 1200 kwa kila tofali moja mpaka site, na kwa inchi 5 tunatoa tofali 35 tu na bei ni 1150 mpaka site. Ukitaka nyingi tunaongea bei inashuka.

Tunasupply popote Tanzania. Nje ya Dar es Salaam tunapeleka mashine mpaka huko na kazi inafanyiwa site.

Karibuni sana.

Kwa mawasiliano piga simu 0653 121 230

Nitakutafuta Mkuu, asante sana!
 
Wataalamu wa kukadiria nina boma lenye ukubwa lenye ukubwa wa Mita 8 kwa 6.5 naomba kujua idadi ya mbao zinazohitajika na idadi ya bati.... Natanguliza shukrani
 
mimi ni fundi hapa moro, kuna mama aliihitaji kuezekewa nyumba yake hapo dar. nyumba ilikua m14*14 imegarimu m5.8, hii pamoja na mbao 2*4-76,2*2-56,1*10-18.bati 46 m5 alaf, kofia, misumari yote, koa,usafiri, na ufundi 1.2m. picha zipo ni nzuri mno
 
Kama una kiwanja anza msingi kwanza kwani msingi hauna gharama maalum kwa kuwa inategemea eneo ulipo na aina ya vifaa vya kutumia kama aidha msingi wa mawe au matofali. ila kwa Mwanza upatikanaji wa mawe ni mkubwa. Hata hivyo gharama za boma hadi kupaua hazitofautian sana. Kwa kifupi angalia gharama nilizotumia kuanzia msingi, boma, lenter, kupaua na magrill.


Congratulation for this!
 

Similar Discussions

17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom