kwa wanafunzi ambao ndio wanatoka fresh from vyuo imekuwa ngumu kupata kazi kwa kisingizio eti hawana experience! Je, hao walio maofisini walizaliwa na experience? Au nao walipita shule kama sisi? je, experience tutaipata wap kama si wao kutuajiri kwanza then mengine yafuate! naomba waajiri mtazame kwa upya swala hili kwan hakuna aliezaliwa na experience.:flypig: