BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kukosa punzi na kifua kubana kiasi fulani, hii huwa inanitokea mara nyingi kama jana yake nimekunywa pombe. I have been to several hospitals inside and outside the country but I have never been diagnosed properly. Imeshanitokea sana na wakati mwingine huwa nawekewa mpaka oxygen. Leo nimekutana na rafiki yangu akasema na yeye pia ameshawahi kupata hiyo shida na baadae madokta wa Kigali waligundua ni gas inajaa.
Je nataka kufahamu Gas huwa inasababishwa na nini? Na je ni kweli gas inaweza ikakusababishia shida kama hii.
Please nifungueni masikio
Je nataka kufahamu Gas huwa inasababishwa na nini? Na je ni kweli gas inaweza ikakusababishia shida kama hii.
Please nifungueni masikio