Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Narejea hotuba ya Mhesh. Rais J. Kikwete kwenye shughuli za Precision Air juz juz kuwa mashirika ya ndege yazingatie sheria. Tarehe 1 August 2012 nilipanda ndege TATU tofauti za Precision Air kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam katika kipindi cha masaa SABA na kutua Mwanza na Kilimanjaro. Hili linawezekana sehemu nyingine duniani au ni Tanzania tuu?. Tuliondoka Kigoma saa nne hivi na kufika Dsm saa 11.30 jioni. Hawakutupatia Chakula kamili (lunch) isipokuwa kuambulia vitafuni (sandwitch na korosho) tu wakati wote tukiwa angani na transit. Jamani lioneni hili.