Ndugu wadau JF:
Kuna tetesi nimezisikia mitaani katika pitapita zangu kuwa kuna kigogo mmoja ambaye kila consignment yake ya mafuta inapowasili nchini bei za mafuta hupanda immediately...lakini kila inapoisha huwa zinashuka ghafla... How true is this? ...Wanaojua watuze.
Shukrani....
Kuna tetesi nimezisikia mitaani katika pitapita zangu kuwa kuna kigogo mmoja ambaye kila consignment yake ya mafuta inapowasili nchini bei za mafuta hupanda immediately...lakini kila inapoisha huwa zinashuka ghafla... How true is this? ...Wanaojua watuze.
Shukrani....