Hili nalo neno, ila kwa ajili ya kuweka kumbukumbu sahihi ongezea kidogo hivi kama hapa chini...watu waichukie ccm mara ngapi? walioipa kura ccm ni wanachama wa ccm
watu waichukie ccm mara ngapi? walioipa kura ccm ni wanachama wa ccm
naongezea kidogo (maeneo ya - sinza)
chumvi gm 250 toka 150 baada ya uchaguzi 300
always za kina dada 1300 baada ya uchaguzi 2000
petrol 1500 baada ya uchaguzi 1800
samaki fresh 4500 kgbaada ya uchaguzi 5500
kuna siku (kabla ya uchaguzi)nilikuwa navuka naelekea Kigamboni,
Wakati nakata tiketi nikamwuliza makataji tiket mbona gharama ya kuvuka kwa gari ni kubwa.
Akasema na bado kwani baada ya uchaguzi gharama itapanda zaidi.
Nikashangaa kwanini ipande baada ya uchaguzi, nami sikupata jibu.
vyakula....Mkuu Crashwise thanks for the facts. Sijui utafiti wako ulilenga zaidi maeneo yapi vile?. I really appreciate.