Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
WanaJF,Ndugu,nauli ya daladala inapanda,gesi imepanda,umeme umepanda, bei ya sabuni, bei ya mafuta ya taa juu,bei ya sukari imepanda mpaka kilo sh.1900 pengne 2000. Kwa mishahara ya laki tutaenda kweli au serikali inafanya makusudi?? Hizi adhabu ni kubwa kwa mlalahoi,hapa rushwa itakwepeka?