ZLATAN
Senior Member
- Oct 5, 2010
- 150
- 18
Jamani hata chupi ikionekana ikiwa mwilini bado utaambiwa umekaa uchi? Kumbe hata mtu mwingine akiishika na kuifua napo utakuwa umekaa uchi?
Ilikuwa bahati mbaya tu nami nilitania tu lakini imekuwa "inshu"
Usitanie tena kitu kama hicho, Ni vipi kama ungemkuta wife wako nae anajifunga vizuri khanga mbele ya houseboy wenu halafu unajua kabisa alitoka chumbani kwenu asubuhi labda akienda toilet ya nje na hakuvaa chochote zaidi ya kufuli?????
Angalia matani ya kupost humu wakati mwingine.