Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
Na mwanandoa anapommega asiye na ndoa inaitwaje hiyo?
........Kama una ndoa yako, halafu unamuacha mkeo/mumeo unaenda fanya tendo la ndoa nje na mtu mwingine hapo utakuwa unazini.
Na mwanandoa anapommega asiye na ndoa inaitwaje hiyo?
........Kama una ndoa yako, halafu unamuacha mkeo/mumeo unaenda fanya tendo la ndoa nje na mtu mwingine hapo utakuwa unazini.
Kwahiyo ipi dhambi, uzinzi au uasherati?
.......Hata mie sijui dhambi ni ipi hapo. Muhimu usitoke nje ya ndoa yako.
Ambassador sasa kama mko single si uvute tu mzigo jumla jumla ??
.....MJ1 ninavyojua mimi uasherati ni kwa wasiokuwa na ndoa na uzinzi ni kwa wanandoa.
Na Biblia ilisema usizini kama amri ya sita na mwanaume akashauriwa kutomwacha mkewe ila kwa ddhambi ya uasherati au nimesoma kinyume?
Nawe kwa kwenda rivasi bana! Amri ya sita inasema USIZINI.
Biblia inasema Mke Haachwi ila Kwa Zinaa.
Zinaa = Uzinzi
Gonga senksi hapo!
sorry mkubwa, bt uligundua nn baada ya kuonja?
Ngoma imetulia. Nahisi kama yeye alifaidi sana hivi maana alisema hakuwahi kuorgasm! Asingenionjesha hata yeye angepitwa!
Angehakikisha vipi? Kwa kunusa au?Ina maana hukuhakikisha kuwa ameogarsm> ,,,,,,,,,,, isijeikawa ameetaka kukufurahisha ili uonje tena!!
nashukuru fl1. Bado nipo nipo kwanza......
Ina maana hukuhakikisha kuwa ameogarsm> ,,,,,,,,,,, isijeikawa ameetaka kukufurahisha ili uonje tena!!
hee kwa hiyo bado unaendelea kuonja onja ???
I mean hakuwa kuorgasm before, i.e. with his former one!
Angehakikisha vipi? Kwa kunusa au?
LOL! Am slow learner kumbe?Hebu na wewe acha kuniaibisha loh......... nenda vijiweni watakwambia wenzio bana