hii mbona rahisi sana. fakamia mivyakula kila ukipata nafasi unakula......machipsi, makuku, mapilao, makeki nk wewe wakati wote unakuwa mtu wa kutafuna tafuna:A S wink:
halafu pia unajifunza kunywa beer na vya kusindikizia kibao...supusupu, kiti moto nk. Kama huwezi beer kwako ni chungu basi kunywa mvinyo wa dodoma.
halafu uwe mama/baba lao la uvivu, kazi yako iwe moja tu kula & kunywa sana sana na safari za msalani, zaidi ya hapo unakuwa mtu wa kupumzika tu kwenye kitanda/mkeka/kochi unajipweteka LOL
Duh,hiyo dozi ya ukweli lakini kuna mtu alinambia kwamba wembamba ni genetic aspect hata ule vp if you are constituted with such genes huwezi kunenepa
mara nyingi nakutana na maelezo ya namna ya kupunguza unene ama msisitizo wa matumizi ya aina fulani ya vyakula vinavyosaidia kupunguza unene. Swali langu ni je hakuna namna ambayo mtu mwembamba anaweza kufanya ili aongeze unene?