Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Wakati wa Kenya wanamuondosha kwa furaha Rais mstaafu Daniel arap Moi na kudhani ndio kikwazo cha maisha yao. vumbi la machafuko liliikumba baada mpinzani wake ambae ni rais wa sasa Kuvuruga amani na kukataa kuondoka madarakani hadi kusababisha vita.
Lkn pia kwa upande wa Zambia baada ya kumuondosha Keneth kaunda na kuja mpinzani Fedrik Chiluba hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, na mpizani huyo wa Dk Kaunda amefikishwa mahakamani kwa rushwa.
Malawi nako hali sio shwari.
Lkn nako znz baada ya Cuf kuingizwa ktk madaraka, waznz wanalalamikia hali mbaya ya maisha.
kwa mfano mchele mbovu uliokuwa unalalamikiwa na CUF kabla ya kuingia madarakani sasa unauzwa kwa bei ya juu huku waziri wa Cuf wa biashara hajui nini afanye.ile ahadi ya kuigeuza zenj kuwa kisiwa cha biasha imekuwa kama hadithi ya kuku na watoto
hali ya wizara ya afya chini ya Mh Juma duni imezidi kuwa mbaya kuliko hata utawala wa ccm pekee.
Lkn pia kwa upande wa Zambia baada ya kumuondosha Keneth kaunda na kuja mpinzani Fedrik Chiluba hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, na mpizani huyo wa Dk Kaunda amefikishwa mahakamani kwa rushwa.
Malawi nako hali sio shwari.
Lkn nako znz baada ya Cuf kuingizwa ktk madaraka, waznz wanalalamikia hali mbaya ya maisha.
kwa mfano mchele mbovu uliokuwa unalalamikiwa na CUF kabla ya kuingia madarakani sasa unauzwa kwa bei ya juu huku waziri wa Cuf wa biashara hajui nini afanye.ile ahadi ya kuigeuza zenj kuwa kisiwa cha biasha imekuwa kama hadithi ya kuku na watoto
hali ya wizara ya afya chini ya Mh Juma duni imezidi kuwa mbaya kuliko hata utawala wa ccm pekee.