Ni PM nikuelekeze mahali napajua utapata huduma hiyo. Andaa kwanza 50,000 nitakupa namba ya m-pesa
hiyo ni zuga tu ya madawa ya kulevya yaletayo maruweruwe kichwani.
wala sikushauri ndugu yangu.
Nilipomaliza fomu 4 nilikuwa nafanya kazi ya kumsaidia MGANGA wa Kienyeji aliyejulikana kwa jina la Omari , alinifundisha mambo mengi sana, hasa ya kitapeli, aliweza kumtapeli mama mmoja shilingi Laki nne - alichokifanya ni kumweleza ugumu wa matatizo yake kwa kuwasha Moto kwa njia ya kuchanganya LIQUID moja na POWDER. Chemical zote hizo ni COMMON lakini kwa mtu asiyejua kama yule mama angeona ni muujiza na kwamba matatizo yake ni makubwa.
hivyo hela inatafutwa kwa njia nyingi ndugu yangu
Jamani mimi ni muhanga wa kuibiwa kwa kweli ni karibu mwaka sasa umepita kuna mwizi alivunja gari na kuondoka na vitu muhimu sana sasa kila mahali na kila ninayemuhadithia anasema ni kwamba ni mchoro uliochorwa na mtu aliye karibu na mimi sasa bila kuzunguka maneno nasiikia kuna waganga wana tv ya asili ambayo inaonyesha tukio zima lilivyofanyika naomba mtu anejua sehemu nzuri ya kupata huduma hii na yenye uhakika anijuze na pia kama kuna madhara ya kuangalia iyo tv niambie najua humu kuna watu washa experience kuibiwa vitu muhimu
ni imani tu, mie niliwai kuibiwa, cha kwanza nilienda polisi kutowa ripoti na siku ya pili yake nikaelekezwa kwa mzee mmoja magomeni mapipa, akaniuliza siku ngapi zimepita toka uibiwe, nikamwambia ni jana tu, akasema vitu vyako utavipata, ajanipa dawa wala nini,siku ya iliyofuata polisi wananipigia simu kwamba mwizi ameenda polisi kujisalimisha na vitu vyangu vyote. sasa sijui mkwala wa huyo dingi ama nini,
yapili niliwai kuibiwa spea dukani kwangu, mwizi aliiba turbo, nikasema ngoja niende tena kwa huyo mdingi, kilichofuata siku ya pili tumeikuta turbo imewekwa nje ya duka, mdingi ajanipa dawa yoyote ninywe wala chochote sijui nifanye nini.
Mweeh! Great thinker indeed.
Pitia kwanza thread humu confession ya mwenzio mganga wa kienyeji alimnyonya nanihii, wewe sijui atakunanihii naniliu kwenye nonino?
Jamani mimi ni muhanga wa kuibiwa kwa kweli ni karibu mwaka sasa umepita kuna mwizi alivunja gari na kuondoka na vitu muhimu sana sasa kila mahali na kila ninayemuhadithia anasema ni kwamba ni mchoro uliochorwa na mtu aliye karibu na mimi sasa bila kuzunguka maneno nasiikia kuna waganga wana tv ya asili ambayo inaonyesha tukio zima lilivyofanyika naomba mtu anejua sehemu nzuri ya kupata huduma hii na yenye uhakika anijuze na pia kama kuna madhara ya kuangalia iyo tv niambie najua humu kuna watu washa experience kuibiwa vitu muhimu
Tukiacha mambo ya kuonyesha vilivyoibiwa, vipi kuhusu kunasishana wagoni kama wale wa Temeke??
Wapi wanatoa hiyo huduma?
Naomba unielekeze huyo mzee wa magomeni mapipa anapatikanaje!
iyo ela kama unataka kunizulumu utaitapika kama unajua c unielekeze tu
Toa huduma kwanza, then ikifanikiwa utalipwa zaid ya hiyoleta 100,000/- nikupe huduma hiyo, mbona rahisi tu wewe lete pesa uone mambo mazito, hayo mambo madogo.
mwizi atakuletea mwenyewe huku akilia, maana nitapisha hukumu ambayo ww hujui ila utaijua ukileta pesa but it shld be paid thru airtel money