Kuomba nafasi za vyuo vya Ualimu mwaka 2014

deonova

JF-Expert Member
Apr 22, 2013
742
417
Habari wadau,
Naomba mnipe msaada wa maelezo tafadhali, utaratibu wa wanaoomba nafasi za vyuo vya ualimu vya serikali (ngazi ya certificate) kwa mwaka huu;
1. Applications zinaanza kupokelewa kuanzia mwezi gani.
2. Taratibu za kuapply unaomba wapi na kwa utaratibu gani/zipi.

Ntashukuru sana wadau, nataka kumsaidia mdogo wangu kwenye applications na sijajua pa kuanzia na muda wa kuanza kuomba na utaratibu gani wa kutumia. Natanguliza shukrani kwenu.

Nawasilisha.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
subilia tangazo kama hilo hapo chini, la 2014/2015
Nafasi za Mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti Daraja A na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2013/2014.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi anawatangazia Wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka 2012 na Kidato cha Sita mwaka 2013 kuwa muda wa kupokea maombi kwa ajili ya mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada mwaka wa masomo 2013/2014 umeongezwa mpaka tarehe 28/06/2013.

Sifa za mwombaji ni kama zilivyoainishwa katika tangazo la Wizara lililopo katika tovuti ya Wizara www.moe.go.tz linalohusu "Nafasi za Mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti Daraja A na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2013/2014".Bofya hapa
Aidha, wahitimu wa kidato cha Sita kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka 2013 wanahimizwa kutuma maombi yao.
Barua za maombi zioneshe Jina na anuani kamili ya mwombaji na kuambatisha nakala ya matokeo yake ya mtihani (wahitimu wa Kidato cha Nne 2012 na Kidato cha Sita 2013 waambatishe ukurasa wenye matokeo yao kutoka Baraza la Mitihani la Tanzania Au kuonesha namba yake ya mtihani)

Maombi yatumwe kwa:-
Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
S.L.P.9121,
DAR ES SALAAM
 
subilia tangazo kama hilo hapo chini, la 2014/2015
Nafasi za Mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti Daraja A na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2013/2014.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi anawatangazia Wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka 2012 na Kidato cha Sita mwaka 2013 kuwa muda wa kupokea maombi kwa ajili ya mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada mwaka wa masomo 2013/2014 umeongezwa mpaka tarehe 28/06/2013.

Sifa za mwombaji ni kama zilivyoainishwa katika tangazo la Wizara lililopo katika tovuti ya Wizara www.moe.go.tz linalohusu “Nafasi za Mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti Daraja A na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2013/2014”.Bofya hapa
Aidha, wahitimu wa kidato cha Sita kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka 2013 wanahimizwa kutuma maombi yao.
Barua za maombi zioneshe Jina na anuani kamili ya mwombaji na kuambatisha nakala ya matokeo yake ya mtihani (wahitimu wa Kidato cha Nne 2012 na Kidato cha Sita 2013 waambatishe ukurasa wenye matokeo yao kutoka Baraza la Mitihani la Tanzania Au kuonesha namba yake ya mtihani)

Maombi yatumwe kwa:-
Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
S.L.P.9121,
DAR ES SALAAM

Asante sana gashambala uwezo, kwa taarifa yako. Ubarikiwe sana basi ngoja niwe nafanya follow up kwenye hiyo tovuti ya wizara mkuu.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mh2
Halafu hii thread nimeitafuta sana maana nilikuwa nimeiweka jukwaa la kazi kule, sasa mimi nimehaha mda mrefu nikahisi imefutwa (maana hata kwenye section ya #Participated Topics nilikuwa siioni - natumia mobile version) Hamadi! Naikuta huku.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
  • Thanks
Reactions: Mh2
katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi bado hajatoa taratibu za utumaji maombi. Uwe na subira
 
katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi bado hajatoa taratibu za utumaji maombi. Uwe na subira

Sawa sawa kiongozi, asante sana kwa taarifa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mimi naomba mnipe sifa za ufaulu kwa mwanafunzi anaweza kuchaguliwa kusomea ualimu hata kwa chuo private.
 
Mimi naomba mnipe sifa za ufaulu kwa mwanafunzi anaweza kuchaguliwa kusomea ualimu hata kwa chuo private.

waliomaliza mwaka jana 2013 mwisho div IV pt 34 lakini waliomaliza kuanzia 2012 kurudi nyuma mwisho div IV pt 27.
 
subilia tangazo kama hilo hapo chini, la 2014/2015
Nafasi za Mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti Daraja A na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2013/2014.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi anawatangazia Wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka 2012 na Kidato cha Sita mwaka 2013 kuwa muda wa kupokea maombi kwa ajili ya mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada mwaka wa masomo 2013/2014 umeongezwa mpaka tarehe 28/06/2013.

Sifa za mwombaji ni kama zilivyoainishwa katika tangazo la Wizara lililopo katika tovuti ya Wizara www.moe.go.tz linalohusu “Nafasi za Mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti Daraja A na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2013/2014”.Bofya hapa
Aidha, wahitimu wa kidato cha Sita kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka 2013 wanahimizwa kutuma maombi yao.
Barua za maombi zioneshe Jina na anuani kamili ya mwombaji na kuambatisha nakala ya matokeo yake ya mtihani (wahitimu wa Kidato cha Nne 2012 na Kidato cha Sita 2013 waambatishe ukurasa wenye matokeo yao kutoka Baraza la Mitihani la Tanzania Au kuonesha namba yake ya mtihani)

Maombi yatumwe kwa:-
Katibu Mkuu,
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
S.L.P.9121,
DAR ES SALAAM



Hilo tangazo lilikuwa mwisho 2013 we unaleta Leo...

Pathetic!!!
 
Hilo tangazo lilikuwa mwisho 2013 we unaleta Leo...

Pathetic!!!

look my friend, ambacho mimi nimefanye ni kumuwekea mfano wa tangazo ambalo ni la mwaka,
jana asubilie , ndio maana nikaandika subilia tangazo la 2014/2015.

aidha natambua kuwa hilo ni tangazo ni la pili baada ya lile la kwanza, hili lilikuwa la kusogeza muda kwa waombaji
lakini nikajua fika aliye hitaji maelekezo kuhusu vyuo vya ualimu ataelewa tu.

who is pathetic??????????????????? you doesn't know what you are commenting here!

cannabis!!!
 
look my friend, ambacho mimi nimefanye ni kumuwekea mfano wa tangazo ambalo ni la mwaka,
jana asubilie , ndio maana nikaandika subilia tangazo la 2014/2015.

aidha natambua kuwa hilo ni tangazo ni la pili baada ya lile la kwanza, hili lilikuwa la kusogeza muda kwa waombaji
lakini nikajua fika aliye hitaji maelekezo kuhusu vyuo vya ualimu ataelewa tu.

who is pathetic??????????????????? you doesn't know what you are commenting here!

cannabis!!!

Bwahahaha "doesn't " hapo inaingiaje? Nani kakufunza English?

Acha kuharibu lugha ya malkia..
 
Back
Top Bottom