Baby shangazi
Member
- Mar 24, 2012
- 64
- 8
Hello wanaJF, mimi nimegraduate mwaka jana with my degree in marketing,but nikapata matatizo ya kifamilia so ckuweza kuanza harakati za kutafuta kazi mapema, sasa nimetulia nataka nisambaze CV zangu maofisin, in case ya bank ni lazima kutuma makao makuu au hata kwa branch managers?m nipo mbeya sasa, pliz naomben mawazo yenu.