miss annie
Member
- May 4, 2010
- 17
- 0
babu kijana,:yuck:,acha kuzengea mali za watu,if you want ingia mkataba nao hao mabint ............
Jamani hawa wazungu ikija kwenye suala la kupeana raha chumbani ni zero kabisaaaaaaaaaaaaa.
Lakini wanajua kupenda na akikupenda basi wewe ni malkia.
Makaka zetu wa kibongo ikija kwenye suala la kuridhishana wala usiongee..they will take you to the moon..ila sasa tatizo lao na wao mtapangwa foleni kama kumi hivi..utadanganywa kama mjinga,muda mwingi yupo na washkaji badala ya girlfriend au familia.kitu ambacho hakipo kabisaa kwa wazungu.mzungu akikupenda ni wewe tu , hatawachanganya,akikuchoka atakuambia na hakudanganya kama hawa waswahili wenzetu.thats the bigest difference
hilo ndio kubwaa linalotufanya tukimbilie kwa wazungu
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia sana blogu ya U-turn www.u-turn.co.tz na haiwezi ikakuchukua muda wala akili nyingi kugundua kwamba kuna baadhi ya kina dada wanaona kuolewa na mzungu ni dili. Hii blogu ni kama maalumu kwa ajiri ya kina dada wanaochukuliwa na wanaume wa kizungu. Imefikia hatua mpaka wanawake wengine umwandikia Mange (mmiliki wa blogu) kuuliza ni wapi na namna gani wafanye ili kupata mabwana wa kizungu.
Ukifuatilia bloguni humo utaona 95% ya picha zinazopostiwa ni za mabinti wakiwa wamechill na mabwana wa kizungu huku zikisindikizwa na habari ama vichwa vya habari vinavyoashiria kwamba wahusika wanakula bata na wazungu hao.
Mfano wa mabinti hao ni wafuatao; list ni ndefu sana so nitaweka machache kati ya hayo;
1. Mange Kimambi ( Mwenyekiti wa mademu walioolewa na wazungu Tanzania)
2. Irene Kiwia
3. Mwamvita Makamba
4. Jesca
5. Jacky Isaac
6. Bella
7. Mitsuka
8. Joyce
9. Happyness
10. Pamela etc etc
List ni ndefu balaa.....na hao wako just inthe first four pages out of 70 pages!!!
Kuna wengine hapo wala hawajaolewa na hao wazungu wameishia kuzalishwa tu na kuachwa maana hao wazungu walikuja bongo kwa mkataba wa kazi baada ya mkataba kuisha wamerudi kwao na hao wadada kuachiwa machotara.Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia sana blogu ya U-turn www.u-turn.co.tz na haiwezi ikakuchukua muda wala akili nyingi kugundua kwamba kuna baadhi ya kina dada wanaona kuolewa na mzungu ni dili. Hii blogu ni kama maalumu kwa ajiri ya kina dada wanaochukuliwa na wanaume wa kizungu. Imefikia hatua mpaka wanawake wengine umwandikia Mange (mmiliki wa blogu) kuuliza ni wapi na namna gani wafanye ili kupata mabwana wa kizungu.
Ukifuatilia bloguni humo utaona 95% ya picha zinazopostiwa ni za mabinti wakiwa wamechill na mabwana wa kizungu huku zikisindikizwa na habari ama vichwa vya habari vinavyoashiria kwamba wahusika wanakula bata na wazungu hao.
Mfano wa mabinti hao ni wafuatao; list ni ndefu sana so nitaweka machache kati ya hayo;
1. Mange Kimambi ( Mwenyekiti wa mademu walioolewa na wazungu Tanzania)
2. Irene Kiwia
3. Mwamvita Makamba
4. Jesca
5. Jacky Isaac
6. Bella
7. Mitsuka
8. Joyce
9. Happyness
10. Pamela etc etc
List ni ndefu balaa.....na hao wako just inthe first four pages out of 70 pages!!!
Jamani hawa wazungu ikija kwenye suala la kupeana raha chumbani ni zero kabisaaaaaaaaaaaaa.
Lakini wanajua kupenda na akikupenda basi wewe ni malkia.
Makaka zetu wa kibongo ikija kwenye suala la kuridhishana wala usiongee..they will take you to the moon..ila sasa tatizo lao na wao mtapangwa foleni kama kumi hivi..utadanganywa kama mjinga,muda mwingi yupo na washkaji badala ya girlfriend au familia.kitu ambacho hakipo kabisaa kwa wazungu.mzungu akikupenda ni wewe tu , hatawachanganya,akikuchoka atakuambia na hakudanganya kama hawa waswahili wenzetu.thats the bigest difference
hilo ndio kubwaa linalotufanya tukimbilie kwa wazungu
9 out of 10 nappy-headed hos that date (and eventually "marry") White Men are nothing but hookers. How else would an average African Woman in Tanzania be in a situation to meet and date White Men other than to frequent exclusive upscale nightclubs and hotels where White people like to hang out (in and around Oysterbay, Masaki, Msasani and Upanga areas like Irish Pub, Q-Bar, George & Dragon, Hotel Kempinski, Movenpick Hotel, Palm Beach Hotel etc)