Mlima Kilimanjaro unaisha, theluji (snow)itayeyuka iishe katika kipindi kifupi kijacho.
Sababu za mlima kuyeyuka.
-i) Ongezeko la joto duniani (global warming).
hii inatokana na uchafuzi wa hali ya hewa angani kwa sababu ya viwanda na magari
-ii) kupungua kwa mawingu katika mlima kilimanjaro.
Mawingu yamepungua kutokana na miti ya asili (indigenous)kukatwa na kupanda ya kigeni (exotic).
miti ya asili ilikatwa na Wizara ikapanda ya kizungu kwa ajili ya biashara.
Miti aina ya pines na cypres imepandwa kuzunguka mlima kilimanjaro, hasa rongai na west kilimanjaro.
Pine ni miti inayotakiwa kupandwa kwenye udongo wa tindiga au marsh kama kule australia au norway. Kule udongo muda wote umejaa maji.
Pale Sokoine University of Agriculture pana Kitivo cha Misitu, na wafanya kazi wengi wa Idara ya misitu wanatoka pale. SomebodyDR. Kilahama, Prof Madofe, Prof Temu wanajua haya mambo kuhusu hii misitu.
Tumeona madhara, sasa tuchukue hatua. Misitu yote ya Kisasa ikatwe na misitu ya asili iachwe iote yenyewe. Upepo unapovuma kutoka sehemu moja hadi nyingine mbegu za miti asili itasambaa na itaota. Mpaka hii miti asili iote na hali kama zamani irudi itachukua kama miaka 5
Sababu za mlima kuyeyuka.
-i) Ongezeko la joto duniani (global warming).
hii inatokana na uchafuzi wa hali ya hewa angani kwa sababu ya viwanda na magari
-ii) kupungua kwa mawingu katika mlima kilimanjaro.
Mawingu yamepungua kutokana na miti ya asili (indigenous)kukatwa na kupanda ya kigeni (exotic).
miti ya asili ilikatwa na Wizara ikapanda ya kizungu kwa ajili ya biashara.
Miti aina ya pines na cypres imepandwa kuzunguka mlima kilimanjaro, hasa rongai na west kilimanjaro.
Pine ni miti inayotakiwa kupandwa kwenye udongo wa tindiga au marsh kama kule australia au norway. Kule udongo muda wote umejaa maji.
Pale Sokoine University of Agriculture pana Kitivo cha Misitu, na wafanya kazi wengi wa Idara ya misitu wanatoka pale. SomebodyDR. Kilahama, Prof Madofe, Prof Temu wanajua haya mambo kuhusu hii misitu.
Tumeona madhara, sasa tuchukue hatua. Misitu yote ya Kisasa ikatwe na misitu ya asili iachwe iote yenyewe. Upepo unapovuma kutoka sehemu moja hadi nyingine mbegu za miti asili itasambaa na itaota. Mpaka hii miti asili iote na hali kama zamani irudi itachukua kama miaka 5