BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Yeah lakini wengi wao hawana uwezo wa kusafisha kila siku mkuu lazima ukubali. Kipato mkuu Rasta hizo mtu akisuka anakaa nazo mwezi yote hii kwa ajili kipato.
Fidel
ndo hivyo sasa,muwasaidie wandani wenu kununua vitu kadhaa kama
-Drier za mkono
-shampoo
-conditional
-mafuta ya kupaka
Ili aoshe muda wowote mtakao na muwaone wasafi zaidi.