Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
ishi tatzo c kuosha chin ya nanii tatzo ni kuoga mara 3 kwa week,bahat yenu mnalamba uko pekee,sasa lamben maskion au kwapani kwa matoz muone balaa lake,kama unamimba inatoka...!
lol,...kiongozi, hata jamaa wa maghorofani nao ni noma bana. Kwakuwa wana magari na maofisi yenye kiyoyozi, na
nyumbani ni full 'kipupwe' hata kukoga anaona luxury tu...mtu mzima anajifuta na body wipes utasema yupo kwenye ndege! Perfume na Body sprays kwa wingi kumbe ana 'mask' uchafu na uvundo!...
Uchafu ni hulka ya mtu,...kwa haraka gani mpaka mtu ashindwe jisugua 'kona' za mwilini mwake?
hata mswaki anakumbuka huyo, au anasukutua colgate tu? Haipendezi hata kidogo.
ningesema neno hapa ila naogopa mnaita nini sijui....nimekuweka kapuni
hahahahhaha weye vituko utaacha lini jamani!hehehe angalia sketi lisipigwe na upepo, kapu mara nyingi linakuwa linahang chini ya magoti.
Haijalishi we ni nani, unatoka wapi au unafanya nini, cheo chako ama hadhi yako. Uwe unaishi uzunguni ama uswahilini, usafi ndo mpango mzima!!yaani mnaenda kudate wauza samaki halaf mnategemea wanuke pafyum? hehehehe wa uswahilini utawajua tu.
ningesema neno hapa ila naogopa mnaita nini sijui....nimekuweka kapuni
wape wape ehe vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao!
ishi tatzo c kuosha chin ya nanii tatzo ni kuoga mara 3 kwa week,bahat yenu mnalamba uko pekee,sasa lamben maskion au kwapani kwa matoz muone balaa lake,kama unamimba inatoka...!
Utamuuuuuuuuuuuuuulifuata nini huko uvunguni?
Mwenye macho haambiwi tazama na chizi c lazma avue nguoPole sana mwana JF mwenzetu, kwani inavyoonekana una mkosi wa kukutana na wanaume wachafu. Hata hivyo wahenga walisema ndege wanaofanana huruka pamoja. Angalizo: wewe ukoje? Sorry... Ahahahahahahahahaaa......