Kuoa na kuishi mbali na mkeo/mmeo

huko ni kujitia majarbuni. sasa ukishindwa na ukamsaliti ndo uprove kua huwezi then umwite mkeo au??
na yeye kule akifanya hivyo??

Dada yangu Tasia I, kwanza pole sana ila katika Maisha ya sasa si ajabu kabisa kukuta Mke na Mume wanaishi mahala tofauti hili linaweza kusababishwa na mambo kadha wa kadha mojawapo ni Majukumu ya Kikazi. Unakuta Mume na Mke wanategewa na Familia zao kwa hiyo wanakuwa hawana option nyingine zaidi ya kufata Majukumu ya Kikazi.

Kuna Changamoto nyingi ila Couple zinazoishi Miji tofauti zinashauriwa kuwa na Mawasiliano ya karibu na Kupanga Mipango ya Maisha pamoja na ukizingatia siki hizi njia za Mawasiano zimeboreshwa sana
 
am a strong opposer wa couples kuishi away from each other. tutasema yoote kuhusiana na technolojia etc but lovers should try their best to live together. disctance always creates faults ambazo udhoofisha atoms zishikiliazo bonds za mapenzi. for whatever reason that may distance couples away be it economical, academic etc lovers should always strive to be together and by together I mean physically
 
hili ni tatizo kwa waliooana.niliwai kuulizia jambo ili kwa mtu anayenizidi umri, yeye alisema kama mmeoana lazima ndoa ni ya kuwaunganisha mkae pamoja hasa miaka miwili ya kwanza especially kama amjapata mtoto.Msipofanya hivyo, basi kila mmoja awe mme au mke anakuwa na rafiki yake wa zamani ambaye wataliendeleza game.anasema huwezi kuoa kwa mbwembwe harafu mke akakaa dodoma nawe ukakaa kigoma,kila mmoja atendelea na mtu wake wa zamani na mwisho mme anaweza bambikizwa mtoto kuwa ni wa kwake. mfano huu hai upo wa jamaa alifunga ndoa na demu anayefanya kazi dodoma na mme ni mwenyeji wa kigoma na anafanya kazi kgoma kwao.hata kijana aliyemsimamia bwana harusi alilalamika sana kuhusu tabia hii lakini mke na mme waliona powa tu
 
unanunua shamba mkuranga

na wewe unaishi morogoro

halafu hao wezi wa shambani mwako mbona watafaidi lol


Ni kweli kabisa....................mimi sishauri hata kidogo................tena msijaribu.

Lakini kuna watu wana roho ngumu.........jirani yangu mmoja alioa.....mke anafanya kazi morogoro..........yeye yuko dar na wakaendelea kuishi hivyo.............

Juzi mimekutana nae kwenye harusi..........namuuliza wife yuko wapi...............ananiambia yuko Jamaica na watoto(2)..........anaishi huko kikazi ,anamkataba wa miaka 3........................nilibaki nimeduwaa.
 
hii ilipelekea wachaga walio wengi kuwa na wake zaidi ya mmoja kwa kuwaacha wake zao migombani........pale mnapooana ni vyema kuwa pamoja.... kama ni hapa nchini ni bora mmoja kutafuta kazi sehemu moja mnapokuwa pamoja na hata watoto wanapata malezi yenu wote......na inapotokea ni nje ya nchi kuwepo na kikomo sio kwenda nje huko unaishi miaka 10 familia ipo bongo..... unaporudi ukikuta ndivyo sivyo wa kulaumiwa ni nani
 
Bwana hiyo siyo kabisa; sishauri wenye ndoa kukaa mbali mbali! Pamoja na issue ya kutafuta maisha, mwaweza tafuta anti-maisha (HIV) pia, n this is a very serious case. Achia wale ambao kucheat ni sehemu ya maisha, wengine wanakuwa forced na maumbile (needs) na hakuna watu wasiopenda kutumia condom kama wenye ndoa!

Mara nyingi nawashauri kaka zao, when looking for wachumba wajikite kwa primary skul teachers na nurses, at least wao wanahamishika; sio kama sisi wengine!

Suala la magonjwa ni moja lakini minifamilies zinakuwa kibao, at the end of the day ndoa huweza kuvunjika
 
JF habari,
Jamani me hua najiuliza swali moja,
hivi logic ya kuoa halaf bado mtu mkaishi mbali na mkeo/mmeo inakuawap?
kwanfano mtu ni bachela, na unaishi mbali na unaetegemea kumwoa, mungu akajalia mkaoana,
lakini bado ukabaki huko uliko na yeye mmwenza wako akabaki huko aliko. sasa mantiki ya kuoa inakua wap hapa!
Lengo hua ni kumfunga mtu asijarib kukutoka au ni kuoa kweli!!!

Kama kuna kitu ambacho ni kibaya katika ndoa basi ni kukaa mbali na mke au mume.....................Hii ni kitu ambacvho kimenitokea frankly speaking inauma sana................ni ndoa iliyodumu kwa miaka miwili tu....................Nilibahatika kupata jiko na baada ya miezi mitatu ya ndoa yangu nikabahatika kupata kazi mbali na mji niliokuwa naishi nimepiga mzigo kama mwa mwaka mmoja na miezi kadhaa nikiwa narudi nyumbani kila Jimamosi na nikipata nafasi siku nyingine Ijumaa nakuondoka Jumapili ilikuwa ni gharama kusafiri kurudi nyumbani ila kwa sababu nilikuwa nampenda my wife nililazimika kufanya hivyo..............Kuna kupindi hali ilikuwa mbaya nashindwa kwenda kumuona ila simu ilikuwa napiga sana karibia kila siku.......Dah kuna siku sikuweza kwenda home ikabidi nimcall kumpa taarifa dah napiga simu ikawa haipatikani kwa siku tatu mfululizo ikabidi nimpigie mshakaji wangu wa karibu kwenda kumchek wife home kama anatatizo maana ni siku tatu mfululizo hapatikani hewani.......Mshakaji kufika pale home anaambiwa na majirani kuwa wife aliondoka na kuchukua vitu vyote vya ndani na akaacha funguo.......alikuja na dada na kaka yake kufanya hiyo shughuli.............nilichanganyikiwa kiukweli fasta nikachukua ruhusa kazini nikashuka town kufika home ni kweli wife alichukua kila kitu.........niliumia sana yani nilibaki nalia maana ni mwanamke niliyesota nae na kumgharamikia masomo yake kabla sijamuoa ila hiyo sio issue kweli nilikuwa nampenda sana na sikutegemea kama angeweza kufanya hivyo maana alikuwa muwazi sana kwangu kwa kila kitu.............mpaka leo hapatikani hewani na wazazi wake hawakuonyesha ushirikiano wowote pale binti yao aliposepa naambiwa yupo Dar .........Kwa wale walioa na kuacha wake zao mbali ni bora mkaliangalia swala hili upya..........Kitu nimegundua wanakuwa na wakati mwingi wa kuwaza na kuchukua maamuzi mazito wanapokuwa...... wenyewe..........MTANISAMEHE SIO MUANDISHI MZURI ILA HAYA YAMENIKUTA NA NIMEPATA SHIDA SANA KUKABILIANA NALO
 
Kama kuna kitu ambacho ni kibaya katika ndoa basi ni kukaa mbali na mke au mume.....................Hii ni kitu ambacvho kimenitokea frankly speaking inauma sana................ni ndoa iliyodumu kwa miaka miwili tu....................Nilibahatika kupata jiko na baada ya miezi mitatu ya ndoa yangu nikabahatika kupata kazi mbali na mji niliokuwa naishi nimepiga mzigo kama mwa mwaka mmoja na miezi kadhaa nikiwa narudi nyumbani kila Jimamosi na nikipata nafasi siku nyingine Ijumaa nakuondoka Jumapili ilikuwa ni gharama kusafiri kurudi nyumbani ila kwa sababu nilikuwa nampenda my wife nililazimika kufanya hivyo..............Kuna kupindi hali ilikuwa mbaya nashindwa kwenda kumuona ila simu ilikuwa napiga sana karibia kila siku.......Dah kuna siku sikuweza kwenda home ikabidi nimcall kumpa taarifa dah napiga simu ikawa haipatikani kwa siku tatu mfululizo ikabidi nimpigie mshakaji wangu wa karibu kwenda kumchek wife home kama anatatizo maana ni siku tatu mfululizo hapatikani hewani.......Mshakaji kufika pale home anaambiwa na majirani kuwa wife aliondoka na kuchukua vitu vyote vya ndani na akaacha funguo.......alikuja na dada na kaka yake kufanya hiyo shughuli.............nilichanganyikiwa kiukweli fasta nikachukua ruhusa kazini nikashuka town kufika home ni kweli wife alichukua kila kitu.........niliumia sana yani nilibaki nalia maana ni mwanamke niliyesota nae na kumgharamikia masomo yake kabla sijamuoa ila hiyo sio issue kweli nilikuwa nampenda sana na sikutegemea kama angeweza kufanya hivyo maana alikuwa muwazi sana kwangu kwa kila kitu.............mpaka leo hapatikani hewani na wazazi wake hawakuonyesha ushirikiano wowote pale binti yao aliposepa naambiwa yupo Dar .........Kwa wale walioa na kuacha wake zao mbali ni bora mkaliangalia swala hili upya..........Kitu nimegundua wanakuwa na wakati mwingi wa kuwaza na kuchukua maamuzi mazito wanapokuwa...... wenyewe..........MTANISAMEHE SIO MUANDISHI MZURI ILA HAYA YAMENIKUTA NA NIMEPATA SHIDA SANA KUKABILIANA NALO

Pole sana Baba Sharon!
 
Back
Top Bottom