kuoa mwanamke wa kizungu inabidi ujiandae.

Hakuna!Ila jiandae kupanga kila kitu ambacho hakijapangwa hakifanyiki!
 
Hamna lolote. Unaowa tu na imetoka.

Hamna kujiandaa chochote. Akishindwa maisha ya SIKONGE, si ataachia ngazi?

Juzi juzi hapo Dar nimekutana na Wazungu wawili (si vizuri lakini kuwaita Wazungu jamani) na wao wanaishi Dar es Salaam. Jamaa watoto wa Kihuni hasa na wanamwaga Kiswahili kama hawana akili nzuri. Wanaishi Kinondoni na Mwanaume ni Mfaransa, Mwanamke ni Mgerumani. Wanaita Dar ndiyo NYUMBANI.

Tuache Complex ya kuwaona hawa watu weupe kama watu wa ajabu sana. Ni watu tu kama sisi na anaweza kula hata NSANSA za Kinyamwezi na kuzipenda. Utamuona hata kashika Mchi anatwanga Mpunga....... na jioni ndoo ya maji kichwani na mgongoni mtoto :)

Mkipendana, wee oa tu ila mwambie kabisa kuwa kwenu ni MASIKINI saaana. Akikubali na akifika huko akute kuna nafuu, basi atakupenda zaidi. Ila kujifanya kwenu weee ni Bab kubwa hata Ridhiwan anakuonea wivu kwa hela ulizonazo, basi akija kufika akute ulimdanganya, itakula kwako.
 
wanaume ninaowafahamu mimi wanaooa wanawake wa kizungu,huwa wanaendeshwa.mara mtoi boby nje asubuhi{mbwa}akakojoe,siyo hayo tu,ila w.ke huwa wana usumbufu fulani,tofauti na wanaume wa kizungu.na w.me wengi wakishapata paper tu,huwaacha.business is done.ila asilimia chache mahusiano hudumu
 
Hamna lolote. Unaowa tu na imetoka.

Hamna kujiandaa chochote. Akishindwa maisha ya SIKONGE, si ataachia ngazi?

Juzi juzi hapo Dar nimekutana na Wazungu wawili (si vizuri lakini kuwaita Wazungu jamani) na wao wanaishi Dar es Salaam. Jamaa watoto wa Kihuni hasa na wanamwaga Kiswahili kama hawana akili nzuri. Wanaishi Kinondoni na Mwanaume ni Mfaransa, Mwanamke ni Mgerumani. Wanaita Dar ndiyo NYUMBANI.

Tuache Complex ya kuwaona hawa watu weupe kama watu wa ajabu sana. Ni watu tu kama sisi na anaweza kula hata NSANSA za Kinyamwezi na kuzipenda. Utamuona hata kashika Mchi anatwanga Mpunga....... na jioni ndoo ya maji kichwani na mgongoni mtoto :)

Mkipendana, wee oa tu ila mwambie kabisa kuwa kwenu ni MASIKINI saaana. Akikubali na akifika huko akute kuna nafuu, basi atakupenda zaidi. Ila kujifanya kwenu weee ni Bab kubwa hata Ridhiwan anakuonea wivu kwa hela ulizonazo, basi akija kufika akute ulimdanganya, itakula kwako.

Bro usisahaua huku kijijini mkeo ulomwacha bado tunamtunza ee!
 
unaenda kua houseboy...... mvulana.. wasichana wanaenda tumika kimapenzi.. tena mapenzi machafu.. utalazimishwa lalwa hata na mbwa.. msijaribu wazungu ndg zangu..
 
Kijiji gani tena huko? Mie nimezaliwa Sikonge na naishi Sikonge.

Nilikuwa sifahamu kuwa nina mke mwingine. Huyu basi naona Wazazi wangu (Mungu awalaze pema, Amen) waliniozesha Mke na mie wala sikujua wakati nikiwa masomoni. Unajua matatizo ya kuondoka kwenda Form one hata hujabarehe, ndiyo unakuwa umekimbia kwenu kiaina. Unakuja kubarehe uko shuleni. Unaenda hadi JKT, baadaye Chuo kikuu na mwisho unaanza kazi. Sasa wazee wakiona kabinti fulani kanalima sana, kanatwanga sana, kanabeba kuni kibao, kanapenda watoto nk wanaona haka katamfaa Mwanetu Sikonge. Wanakuozesha wakati haupo na wewe ukifika, unakuja na mawazo mengine kabisa na mke wa hivyo anakuwa hakufai tena maana mnaongelea mawimbo tofauti na inaweza kuchukua muda sana kumpa na yeye shule. Ila kama una muda, ni SAFI SANA.

FL, nilikuwa sifahamu kuwa na wewe ni wa SIKONGE. Nashukuru kufahamu. Wavezya sana ilumbu lyane :)
Bro usisahaua huku kijijini mkeo ulomwacha bado tunamtunza ee!
 
Wengi waliooa wadhungu wanajuta kisirisiri. Kuna baba alioa mmarekani wakati akiwa masomoni huko miaka ya early 70s mwanamke alivyofika dar kaona maisha ndivyo sivyo karudi kwao na mtoto walozaa wote. Huyu baba ana life nzuri sana sasa hivi na ana familia (watoto wake ni rafiki zangu) lakini mpaka leo hajawahi kumwona mwanae na hajuhi hata atampataje. Watoto wake wa kibongo wenyewe wanasema tuna dada US ila hatumjuhi. Huyu baba anajutia muda wake alopoteza na huyu wife.

Kuna mifano mingi hasa ya wale waliooa wanawake wa ki russia wengi hawajuhi watoto wao kwani wake zao walisepa nao. Mara elfu kuolewa na mdhungu kuliko kuoa. Itakula kwako unless uwe na pesa kweli kweli ndiyo kidogo wanatia adabu.
 
Kwani unaishi wapi hadi uwe unafahamu Wanaume KAMA MABINTI tu?

Hizi kona wengine mnaishi, khaaa!!! Mbona mie nilishaona Watanzania kadhaa huko majuu ambao kwenye familia zao, wao ndiyo WAZEE WA MJI. Wakifika tu home, mji mzima unakuwa juu juu tu maana MZEE KAINGIA. Tena unakuta jamaa nyumba nzima kajaza ndugu zake na wakati mke wake, hajaleta hata Mdogo wake.

Au unaongelea hawa akina Michael Jackoson (Baba mweusi, vitoto vyeupee Blondy). Na yeye yuko happy akiitwa Daddy. Ila haina tatizo maana maisha bana ni kasheshe sana. Unaweza kukuta jamaa baada ya miaka kadhaa, maisha yako juu sana. Kuna wengine huwa wakipata makaratasi basi wanawakimbia wake zao na kurudi Tz kuoa Wabantu. Wanachukua vibinti ambavyo vikienda Majuu na kukutana na WaNigeria, basi vinazuzuka na mwisho wa siku, na wao wanaachwa kwenye mataa.......
wanaume ninaowafahamu mimi wanaooa wanawake wa kizungu,huwa wanaendeshwa.mara mtoi boby nje asubuhi{mbwa}akakojoe,siyo hayo tu,ila w.ke huwa wana usumbufu fulani,tofauti na wanaume wa kizungu.na w.me wengi wakishapata paper tu,huwaacha.business is done.ila asilimia chache mahusiano hudumu
 
Na wengine unakuta anamtumia tu mdhungu wa watu huku pembeni anaendelea kula mzigo na wabantu; tena nina mifano mingi ya kike na ya kiume when it comes to cheating wanaenda kwa wabantu meaning there is something they are missing
Kuna wengine wameoa wazungu ila huwa wanatamani kuwa na back up za nyumbani ni nyumbani Y
 
me naona kama ni mateso tu,wale watu dah
hata apite naked wala sistuki,....ila ipite ngozi nyeusi imeacha kimgongo tu doh,.....

Kuoa mdhungu ni shida,usizani anaeoa kampenda kweli.
 
me naona kama ni mateso tu,wale watu dah<br />
hata apite naked wala sistuki,....ila ipite ngozi nyeusi imeacha kimgongo tu doh,.....<br />
<br />
Kuoa mdhungu ni shida,usizani anaeoa kampenda kweli.
<br />
<br />
Naunga mkono hoja, mia kwa mia.
 
wanaume ninaowafahamu mimi wanaooa wanawake wa kizungu,huwa wanaendeshwa.mara mtoi boby nje asubuhi{mbwa}akakojoe,siyo hayo tu,ila w.ke huwa wana usumbufu fulani,tofauti na wanaume wa kizungu.na w.me wengi wakishapata paper tu,huwaacha.business is done.ila asilimia chache mahusiano hudumu

Acha uongo wewe.
 
Na wengine unakuta anamtumia tu mdhungu wa watu huku pembeni anaendelea kula mzigo na wabantu; tena nina mifano mingi ya kike na ya kiume when it comes to cheating wanaenda kwa wabantu meaning there is something they are missing

Kwani wabantu kwa wabantu ndo hakuna mipango ya kando? Na wabantu wanaotoka nje ya mahusiano yao what is missing? Kwa sababu kila siku humu watu wanalia kutendwa. Au sababu za mtu aliyeoa au kuolewa na mzungu zinazomfanya acheat ni tofauti na sababu zinazomfanya mbantu aliyemuoa au kuolewa na mbantu mwenzake? Kama ndo hivyo basi mimi sikulijua hilo.
 
Back
Top Bottom