we kabila gani kwani?
<br />
<br />
mchaga tu ndio sumu eti,wanatoa mifano ya wandugu waliooa wachagga b4 wakawekWa under control,then wanasema wachaga wana destur ya ku separate ukoo na kum dominate mwanaume na mwnaume ana base totaly on his wife's destination nk.
<br />
<br />
kweli wadada wa kichaga tuna rock! Wanatupenda, wanatuogopa, hapo chacha! ILA MWATAKIWA KUJUA MWANAMKE MMOJA WA KICHAGA ANAUWEZO MKUBWA KULIKO WANAUME 5 WA KABILA ZINGNE KTK MAAMUZI NA UZALISHAJI MALI.
<br /><br /><br />
<br /><br />
mkurya
<br />sina tu wa kumkatia
<br />Jamni hii ni kweli kabisa, dada zetu wa kichaga hamjui kitu kabisa.<br />
Nashangaa mmekulia mjini, mmejichanganya lakini badooo kabisa!
<br /><br /><br />
<br /><br />
kweli wadada wa kichaga tuna rock! Wanatupenda, wanatuogopa, hapo chacha! ILA MWATAKIWA KUJUA MWANAMKE MMOJA WA KICHAGA ANAUWEZO MKUBWA KULIKO WANAUME 5 WA KABILA ZINGNE KTK MAAMUZI NA UZALISHAJI MALI.
ndugu Zangu wanajf,nipo katika wkt mgumu wa kuamua nifanyeje kutokana na hali ilvyo,nina mpenz wangu na ninampenda sana naye pia naamini ananipenda pia, ni kabila lake, yaani ndugu, jamaa na marafik hawataki kusikia kabila hlo kabisa,uamuzi wa kuoa upo mikonon mwangu lakn kwa vile maisha hayaeleweki.
Nahofia hatapata support yoyote kutoka kwa ndugu kwnye malez na matunzo ya wanangu endapo nitalazmisha ndoa kisha nikaondoka duniani kabla yake make maisha hayaeleweki kesho ktatokea ktu gani,ndugu zangu nishaurin nifanyeje,either nimuache au nimweleze wazi ajue lakn nitamwachaje bila kosa?
Dondoshen ushaur wa maana bandugu coz ths is jus a ver sensitive issue!
ndo maana mimi nitatafuta wa kabila langu kuondoa matatizo
dah pole sana hao ndugu zako wameolewa /kuoa kwenye kabila lenu?
sasa kama hata wakurya wanatukataa tutaenda wapi?Bebiii wa kabila lako hutampa na tym zinaenda ,siku moja utanambia FL ulisema...
sasa kama hata wakurya wanatukataa tutaenda wapi?
sasa kama hata wakurya wanatukataa tutaenda wapi?