Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
MKE ANAYEKUZIDI UMRI
Kwa kuwa mimi ni Mkristo labda nianze Kwa ku-quote maneno ya biblia Kwenye kitabu cha Mithali 24:27 inasomeka ''Tengeneza kazi yako huko nje, Jifanyizie kazi yako tayari shambani, Ukiisha, jenga nyumba '' Huwezi Kuijenga Future yako imara kabla ya Kuijenga Nyumba yako kwanza Yaani wewe Na Mke wako.. Umapema wa kujenga Ndoa ndio umapema Wa Kuunda strong future..
Katika maisha haya uhadaa mkubwa wa DUNIA Ni kumkamata Mtu Na Nyumba yake.. Mume ni nafasi ya Roho Na Mke mwili Na maisha ni nafsi hai...
Pia Katika maisha haya chini ya jua nimegundua Jambo la ajabu sana.. Kuoa Mke anayekuzidi umri kuna utukufu wa ajabu sana.. Nimeshangazwa baada ya kugundua kwamba watu mashuhuri sana hapa duniani walioa wake waliowazidi umri.. Nitaje baadhi Yao watatu tu ili maada isiwe ndefu
1. Mao Zedong maarufu Kama Mao Tse Tung mnazi mkubwa kabisa siasa Za kikomunist, alikuwa kiongozi Wa vuguvugu la mapinduzi CHINA. Ndiye mwanzilishi Wa Jamhuri ya watu wa China.. Ndugu huyu aliyezaliwa 1893, alioa mwaka 1901 akiwa Na miaka Nane , alimwaoa bi Luo Yixiu aliyekuwa na miaka 13 aliyezaliwa 1889. Ingawa baadae mkewe alifariki akaoa Mwingine ..
2. Mohandas Karamchand Gandhi maarufu Kama Mahatma Gandhi, kiongozi wa taifa la India aliyeongoza mapinduzi wakati India ikitawaliwa Na mwingereza.. Alizaliwa 1869, akiwa Na miaka 13 tu alimwoa Kasturbai Makhanji aliyekuwa Na miaka 14..
3. Tuje Marekani , mwanzilishi Wa Taifa Hilo mashuhuri , George Washington aliyezaliwa February 1732, alimwoa Martha ambaye alizaliwa June 1731.. Walioana Kwenye miaka ya 27..
Kwa haraka utaona ndoa hizo Za utotoni ziliwajenga zaidi kinyumba Na baadae wakatengeneza future.. Gandhi aliyeoa ana miaka 13, mkewe 14, waliishi maisha ya NDOA miaka 61, Gandhi akafa akiwa Na miaka 74 mkewe 78.. Mimi Kwa hoja chache naweza jenga faida Kama 11 Za Kuoa Mke anayekuzidi umri bila hasara..
1: Anajiheshimu, anajiona ni mkubwa so inshu Za upuuzi hazipi nafasi.
2: Anamtii sana mumewe Kwa sababu asipomtii sana mumewe Basi ni rahisi Mume kuhisi anamdharau Kwa kuwa Na Mdogo .. Na Utii ndio tunu pekee ndani ya NDOA.
3: hawezi kumfokea au kumgombeza mumewe Kwa sababu nature ya umri..
4: hujiona tu ana wajibu mpana sana ndani ya familia, hakurupuki
5: ni rahisi sana kusamehe, makosa ya Mume huyachukulia kama makosa ya mdogo wake..
6: Mume huwa mwangalifu sana Kwenye kuijenga nyumba yake, hakurupuki Kwa sababu atachelea Kufanya utoto Na mkewe kumcheka ..
7: wakati Wa mashauriano Wanashauriana kila Mtu akiwa Kwenye Enzi yake, Mume akishikilia Kama Kichwa Cha Nyumba huku akitambua anayenishauri kaliona jua kabla yake..lazima awe makini sana
8: Mke humstahi sana Mume wake, hamropokei nje, hujihisi atabezwa kwanini ameolewa Na mdogo so hustahi mambo mengi..
9: Mke hujiona ana nafasi ya kuyajenga maisha ya familia zaidi kuliko kutapanya Mali
10: Mume humwona mkewe mkubwa mwenzake Na humwachia baadhi ya majukumu Kwenye familia ayaendeshe yeye akiwa mbali bila kuhofia kwamba Mke anaweza vurunda
11: HAWANYIMANI..
Kwa kuwa mimi ni Mkristo labda nianze Kwa ku-quote maneno ya biblia Kwenye kitabu cha Mithali 24:27 inasomeka ''Tengeneza kazi yako huko nje, Jifanyizie kazi yako tayari shambani, Ukiisha, jenga nyumba '' Huwezi Kuijenga Future yako imara kabla ya Kuijenga Nyumba yako kwanza Yaani wewe Na Mke wako.. Umapema wa kujenga Ndoa ndio umapema Wa Kuunda strong future..
Katika maisha haya uhadaa mkubwa wa DUNIA Ni kumkamata Mtu Na Nyumba yake.. Mume ni nafasi ya Roho Na Mke mwili Na maisha ni nafsi hai...
Pia Katika maisha haya chini ya jua nimegundua Jambo la ajabu sana.. Kuoa Mke anayekuzidi umri kuna utukufu wa ajabu sana.. Nimeshangazwa baada ya kugundua kwamba watu mashuhuri sana hapa duniani walioa wake waliowazidi umri.. Nitaje baadhi Yao watatu tu ili maada isiwe ndefu
1. Mao Zedong maarufu Kama Mao Tse Tung mnazi mkubwa kabisa siasa Za kikomunist, alikuwa kiongozi Wa vuguvugu la mapinduzi CHINA. Ndiye mwanzilishi Wa Jamhuri ya watu wa China.. Ndugu huyu aliyezaliwa 1893, alioa mwaka 1901 akiwa Na miaka Nane , alimwaoa bi Luo Yixiu aliyekuwa na miaka 13 aliyezaliwa 1889. Ingawa baadae mkewe alifariki akaoa Mwingine ..
2. Mohandas Karamchand Gandhi maarufu Kama Mahatma Gandhi, kiongozi wa taifa la India aliyeongoza mapinduzi wakati India ikitawaliwa Na mwingereza.. Alizaliwa 1869, akiwa Na miaka 13 tu alimwoa Kasturbai Makhanji aliyekuwa Na miaka 14..
3. Tuje Marekani , mwanzilishi Wa Taifa Hilo mashuhuri , George Washington aliyezaliwa February 1732, alimwoa Martha ambaye alizaliwa June 1731.. Walioana Kwenye miaka ya 27..
Kwa haraka utaona ndoa hizo Za utotoni ziliwajenga zaidi kinyumba Na baadae wakatengeneza future.. Gandhi aliyeoa ana miaka 13, mkewe 14, waliishi maisha ya NDOA miaka 61, Gandhi akafa akiwa Na miaka 74 mkewe 78.. Mimi Kwa hoja chache naweza jenga faida Kama 11 Za Kuoa Mke anayekuzidi umri bila hasara..
1: Anajiheshimu, anajiona ni mkubwa so inshu Za upuuzi hazipi nafasi.
2: Anamtii sana mumewe Kwa sababu asipomtii sana mumewe Basi ni rahisi Mume kuhisi anamdharau Kwa kuwa Na Mdogo .. Na Utii ndio tunu pekee ndani ya NDOA.
3: hawezi kumfokea au kumgombeza mumewe Kwa sababu nature ya umri..
4: hujiona tu ana wajibu mpana sana ndani ya familia, hakurupuki
5: ni rahisi sana kusamehe, makosa ya Mume huyachukulia kama makosa ya mdogo wake..
6: Mume huwa mwangalifu sana Kwenye kuijenga nyumba yake, hakurupuki Kwa sababu atachelea Kufanya utoto Na mkewe kumcheka ..
7: wakati Wa mashauriano Wanashauriana kila Mtu akiwa Kwenye Enzi yake, Mume akishikilia Kama Kichwa Cha Nyumba huku akitambua anayenishauri kaliona jua kabla yake..lazima awe makini sana
8: Mke humstahi sana Mume wake, hamropokei nje, hujihisi atabezwa kwanini ameolewa Na mdogo so hustahi mambo mengi..
9: Mke hujiona ana nafasi ya kuyajenga maisha ya familia zaidi kuliko kutapanya Mali
10: Mume humwona mkewe mkubwa mwenzake Na humwachia baadhi ya majukumu Kwenye familia ayaendeshe yeye akiwa mbali bila kuhofia kwamba Mke anaweza vurunda
11: HAWANYIMANI..