Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
[h=6]Ni kweli kwamba wanaume wa KiTZ hawawi wepesi sana kuwa na mahusiano na mtu mwenye watoto kutoka mume wa awali aumwanamme mwingine? Yaani siyo uhusiano wa kimapenzi tu bali uhusiano wa hata kufikia ndoa? Ni kwa kiasi gani uhusiano wa namna hiyo unaweza kujengwa vizuri bila kuleta mgogoro kati ya huyo mwanamme na watoto? Kwanini katika jamii za wenzetu - hapa natumia mfano wa Marekani - watu wanaonekana kuwa na utamaduni wa kawaida wa "old husband na new husband"? Kweli mwanamme unaweza kuwa na amani na mke mwenye watoto ambaye mume/bwana wake wa zamani yupo hai na angependa kuwa na mahusiano na watoto wake?
Kama una mpenda kweli mtu huyo ni kanuni gani ziwaongoze katika mahusiano ya wewe na watoto wake au na ex wake?
Maoni Please.[/h]
Kama una mpenda kweli mtu huyo ni kanuni gani ziwaongoze katika mahusiano ya wewe na watoto wake au na ex wake?
Maoni Please.[/h]