Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Nawasalimu wanajf wote. Naanza kwa kuomba samahani kwa vile naelewa wazi kuwa thread hii si pure siasa.
Nimekuwa nikifuatilia picha zinazopigwa huko Loliondo kwa babu, jambo lililonifanya niwaulize nyie wenzangu ni huu utaratibu wa kunywa dawa huku wagonjwa wakiwa wamesimama.
Je haya ni masharti au ni haraka tu ya wagonjwa wenyewe? Kama si masharti ina maana hata mabenchi ya kukalia yameshindikana kupatikana kwa ajili hiyo?
Dawa ni kitu cha kuheshimika sana na hasa hiyo inayoambatana na imani ya kidini, sasa ni vipi inywewe kwa kusimama? Hepu shuhudia picha hii hapa chini.
Nimekuwa nikifuatilia picha zinazopigwa huko Loliondo kwa babu, jambo lililonifanya niwaulize nyie wenzangu ni huu utaratibu wa kunywa dawa huku wagonjwa wakiwa wamesimama.
Je haya ni masharti au ni haraka tu ya wagonjwa wenyewe? Kama si masharti ina maana hata mabenchi ya kukalia yameshindikana kupatikana kwa ajili hiyo?
Dawa ni kitu cha kuheshimika sana na hasa hiyo inayoambatana na imani ya kidini, sasa ni vipi inywewe kwa kusimama? Hepu shuhudia picha hii hapa chini.