Unyonyeshaji bora wa maziwa ya mama na maziwa mbadala iwapo ni lazima

mi sioni shida kunyonyesha hadharani, maziwa ya mama ni haki ya mtoto so kama nilikua nae hospital nisimnyonyeshe bse kuna watu? No ni unyanyasaji wa watoto huo, kama unaona shida mkeo kunyonyesha hadharani just tell her, lakini tuna baby shawl na mitandio au hata kanga unapohitaji kunyonyesha in public just funika mtu asione ziwa na mtoto aendelee kunyonya kwa raha zake!
 
I bet yhat there is nothing but in it only that we'd look down on the way its done, should it be commercialized then it becomes bad.
 
Sioni tatizo la kunyonyesha mtoto hadharani kama kuna sababu ya kufanya hivyo,na kwa kuwa sio ishu ndio maana hata jamii yetu inachukulia poa tu, hebu imagine mama yupo kenye basi na mtoto wake mchanga, mara mtoto anaanza kulia njaa, mama atafanyaje zaidi ya kumpa huduma huyo mtoto hapo hapo alipo, huo muda wa kutafuta sehemu ya kujificha atautoa wapi. Lakini kama hakuna ulazima au mazingira hayakubani kunyonyesha hadharani basi ni vyema mama akatafuta sehemu ya kujisitiri na kumnyonyesha mwanae.
 
Kila ninapojaribu kufikiria nakosa jibu la kwanini akinamama,dada wamekua wakinyonyesha watoto wao hadharani kwa kudiriki kutoa maziwa yao(matiti)waziwazi akati hiyo ni sehemu ya kiungo cha siri,je nini hiki,utamadu au?maana mtu mweupe(mzungu)hawezi kwa maana nimechunguza hilo,swali langu ni je kitendo hicho ni maadili?
 
Kila ninapojaribu kufikiria nakosa jibu la kwanini akinamama,dada wamekua wakinyonyesha watoto wao hadharani kwa kudiriki kutoa maziwa yao(matiti)waziwazi akati hiyo ni sehemu ya kiungo cha siri,je nini hiki,utamadu au?maana mtu mweupe(mzungu)hawezi kwa maana nimechunguza hilo,swali langu ni je kitendo hicho ni maadili?

Kwani mpaka mzungu aidhinishe ndo uone kuwa ni sawa?

Mimi naunga mkono wamama kuwapa watoto chakula chao popote pale na wakati wowote ule watoto wasikiapo njaa.

Watoto kunyonya hadharani ni sawa tu na watu kula McDonald's, Calabash, au Steers.

Siwaelewi watu wanaotaka watoto wale wakiwa wamejificha ilhali wao wanakula hadharani.
 
Kila ninapojaribu kufikiria nakosa jibu la kwanini akinamama,dada wamekua wakinyonyesha watoto wao hadharani kwa kudiriki kutoa maziwa yao(matiti)waziwazi akati hiyo ni sehemu ya kiungo cha siri,je nini hiki,utamadu au?maana mtu mweupe(mzungu)hawezi kwa maana nimechunguza hilo,swali langu ni je kitendo hicho ni maadili?


Kule kwetu maziwa ya mama anayenyonyesha siyo kiungo cha siri. Ni kama vidole vya mkono ambavyo unaweza kuvitumia wakati wowote inapohitajika.

Kuna haja ya kuficha hivyo vidole?

Babu DC!!
 
Wanaume wengine banaaaa!!!! Wakiona titi la mama tu wanawaza ngono!!! Mama ana haki ya kumnyonyesha mwanae popote pale ambapo mama huyo ataamua wakati wa kumnyonyesha mwanae umefika hata kama ni hadharani. Mkumbuke mama huyo anayeamua kutoa ziwa lake hadharani kumnyonyesha mwanae hafanyi hivyo kwa kuyaonyesha matiti yake kwa kuwatamanisha wanaume bali hufanya hivyo kama chakula cha mwanae. Tuache kabisa hii tabia chafu ya kuwanyayasa/kuwakejeli akina mama wanaonyonyesha hadharani.
 
Umama kazi! Ufiche mimba kwa maguo makubwaaa afu ujifiche kunyonyesha! Well, i am a bit shy labda nitajifunika wakati wa kunyonyesha. Lakini maziwa ya mama ni muhimu zaidi kwa ajili ya afya ya mtoto.
 
Umama kazi! Ufiche mimba kwa maguo makubwaaa afu ujifiche kunyonyesha! Well, i am a bit shy labda nitajifunika wakati wa kunyonyesha. Lakini maziwa ya mama ni muhimu zaidi kwa ajili ya afya ya mtoto.

Hata POU unaweza mnyonyesha hadharani...!?
 
Kila ninapojaribu kufikiria nakosa jibu la kwanini akinamama,dada wamekua wakinyonyesha watoto wao hadharani kwa kudiriki kutoa maziwa yao(matiti)waziwazi akati hiyo ni sehemu ya kiungo cha siri,je nini hiki,utamadu au?maana mtu mweupe(mzungu)hawezi kwa maana nimechunguza hilo,swali langu ni je kitendo hicho ni maadili?

yaani we utakua ---- sana.
kwahiyo mzungu angefanya hivyo usingeeoona tatizo eh!

yani huwa sina hasira ila leo nimepata hasira na hii thread yako.

mtoto mpumbavu sana wewe, usiyejua kumheshimu mama yako.
tena toka kabisa, mwanaharamu mkubwa
 
Mama yeyote ukiwa unanyonyesha, kama si kujifanya wa kisasa, mtoto anatakiwa kunyonya popote pale madamu ana njaa.
 
Mmh, hivi kempsiky kuwa pale wazi ni aibu?


Sidhani hata kama utakumbuka kuwa titi ni deal au siri, inakuja nachoro tu
Upo kanisani mtoto anaanza kununa, unaliporomosha hilo

Cha kushangaza, baada ya mtoto kuacha kunyonya linakuwa siri tena.
Hata mie siipati logic ya titi kwa kweli, ni siri na sio siri katika mzingira fulani

Umama kazi! Ufiche mimba kwa maguo makubwaaa afu ujifiche kunyonyesha! Well, i am a bit shy labda nitajifunika wakati wa kunyonyesha. Lakini maziwa ya mama ni muhimu zaidi kwa ajili ya afya ya mtoto.
 
Natamani urudie katoto alafu mama ako agome kukunyonyesha akiwa kwenye daladala kwenye mihangaiko ya kukutafutia maisha bora utakapokuwa.....

By the way, hivi Wahispaniola na Wacanada sio Wazungu eeeh, maana nimefanya nao kazi na wamekuwa wnaatoa mititi yao na kunyonyesha watoto wao kama tu wakinamama wetu wa Kitanzania (Ki Africa)

Hongera za pekee kwa kina mama wote kwa kuthamini watoto wao na kutokujali aibu bali afya bora na mwili uliojengeka wa watoto wao kwa kuwapatia lishe bora ya maziwa ya mama....POKEENI PONGEZI HIZI
 
Nyonyo la mama anayenyonyesha huwezi kuliangalia mara mbili hata binti awe mzuri vp!

Hii ni kawaida tu ya sisi toka mababu na mabibi.
 
Guyz sikilizen,,unajua jamaa alietupitia thread akuielezea vizuri,,
kwanza kabisa inabid ifahamike mtoto anasikia njaa popote na anataka apewe msosi on dat time,,so sidhan kama itaingia akilin,mtoto analia njaa,harafu mama ametulia tu,eti kisa anaogopa kunyonyesha hadharani,,huyo atakuwa stupid kabisaa,,,
ila kitu cha msingi na ni ungwana tu na hiari sio lazima,,mama akiwa ananyonyesho mtoto basi ajifunike kamtandio kepesi eneo la tit ili lisionekane wakat baby ananyonya,na apate hewa,,ila hii ni kama yuko sehem yenye wat wengi,,kama ni home,,hata akiwa uchi ruksa,,,
 
Back
Top Bottom