Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,975
- 3,623
Hivi huwa tunajifunza kwa maana ya kujifunza au tunajifunza kwa kutamka?
Kama tungekuwa tunajifunza kupitia semina warsha makongamano na study tour zilizofanywa na "washika dau" wa nchi hii..hata maendeleo yasongekua hivi
Kama tungekuwa tunajifunza kupitia semina warsha makongamano na study tour zilizofanywa na "washika dau" wa nchi hii..hata maendeleo yasongekua hivi