Biera
JF-Expert Member
- Dec 7, 2010
- 464
- 78
Mwenyekiti wa CCM,ndugu Yakaya Kikwete amedai kuwa moja ya maamuz ya mkutano mkuu ni kuwataka watuhumiwa wa ufisadi wajiondoe wenyewe kwenye uongozi wa chama na iwapo watakaidi watawajibishwa(na kunyang'anywa kadi).Je Jk ataweza? maana katoka miezi mi3 wakina EL,CHENGE NA RA au ni mkwala 2? Naomba kuwasilisha. Source.Mwananchi la leo.