:becky::becky::becky::becky:Mbona hayo ni mambo ya kawaida. Wakati mwingine mtu anataka kumaliza wasi wasi wake. Ila omba usinuswe wakati kweli una harufu ya uwanja wa ugenini.
Wasiliana na Teamo atakusaidia jinsi ya kukwepa hicho kitanzi.
Wasiliana na Teamo atakusaidia jinsi ya kukwepa hicho kitanzi.
mkuu mpaka hapo ujue uaminifu kwa shemeji juu yako umeshuka sana na lazima utakuwa unachunguzwa kwenye simu, chupi n.k badili mwenendo wakoJamani nimenuswa leo .hivi nyie huwa mnanuswa na wenzi wenu kuhakiki kwamba hujafanya majamboz tofauti na mwenzio? Yaani imenishangaza sana! Kwani kuna kukariri harufu ya mwenzi wako tofauti na mapafumu duh hii kali ya wiki nimeipata wandugu
Jamani nimenuswa leo .hivi nyie huwa mnanuswa na wenzi wenu kuhakiki kwamba hujafanya majamboz tofauti na mwenzio? Yaani imenishangaza sana! Kwani kuna kukariri harufu ya mwenzi wako tofauti na mapafumu duh hii kali ya wiki nimeipata wandugu
Jamani nimenuswa leo .hivi nyie huwa mnanuswa na wenzi wenu kuhakiki kwamba hujafanya majamboz tofauti na mwenzio? Yaani imenishangaza sana! Kwani kuna kukariri harufu ya mwenzi wako tofauti na mapafumu duh hii kali ya wiki nimeipata wandugu
Jipake kinyesi chako dakika mbili kabla hujakutana na mnusaji. Ulaji wa ugali kwa choroko siku moja kabla ya mechi ya ugenini inasaidia kuifanya dawa hii iwe na nguvu zaidi.
Kimbweka karibu kwenye kile chama chetu wala hautapata shida kwenye mambo kama hayo nitawasiliana na wapwaz TEAMO, ASPRIN, KAIZER ili nione watakusaidia vipi
mkuu mpaka hapo ujue uaminifu kwa shemeji juu yako umeshuka sana na lazima utakuwa unachunguzwa kwenye simu, chupi n.k badili mwenendo wako
ngoja nikupe siri nyingine wakati unaenda kuchinja kobe na timu ya ugenini hakikisha unaenda gesti na sabuni ile ile unayotumia home na mafuta pamoja na pafyumuDuh nimekoma sasa itabidi niwe natembea na kapafyumu kama kale ka home ili ikitokea zali baaaaasiii najipulizia huko huko narudi na harufu ileile
alitoa comments zipi baada ya kunusa? alikunja uso au alikuwa poa maana sometimes kutokana na joto kule uwa kuna kaharufu kama soksi zilizofubaaUmenuswa wapi? Kwa kweli :confused2::confused2::confused2::confused2:
Kwenye nyenzo za shughuli mwendo :becky::becky:
Jamani nimenuswa leo .hivi nyie huwa mnanuswa na wenzi wenu kuhakiki kwamba hujafanya majamboz tofauti na mwenzio? Yaani imenishangaza sana! Kwani kuna kukariri harufu ya mwenzi wako tofauti na mapafumu duh hii kali ya wiki nimeipata wandugu
Umenuswa wapi? Kwa kweli :confused2::confused2::confused2::confused2:
Kwenye nyenzo za shughuli mwendo :becky::becky:
Pole sana mkuu...! Maji yameshamwagika, kinachowezekana ni kutubu madhambi yako na kuhama chama hicho...! Aidha, karibu kwa wacheza salama...!
ngoja nikupe siri nyingine wakati unaenda kuchinja kobe na timu ya ugenini hakikisha unaenda gesti na sabuni ile ile unayotumia home na mafuta pamoja na pafyumu
wenzetu w/wake walishastukia mapema hilo ndio maana ukicheki handbag zao ziko fulluuu kuanzia sabuni, losheni, lipstick, kanga, taulo, chupi ya akiba toilet pepa, wanja, pedi, dawa mseto, n.k vyote hivyo ni kuepusha ushaidi wanapofanya mahasi
Hapo red mkuu nimekupata...! Ndio maana mimi nilimruhusu mwenzangu awe anabeba pochi ndogo aendapo safari za karibu...! Japo kumlinda mwanadamu ni kazi kwelikweli..!
ngoja nikupe siri nyingine wakati unaenda kuchinja kobe na timu ya ugenini hakikisha unaenda gesti na sabuni ile ile unayotumia home na mafuta pamoja na pafyumu
wenzetu w/wake walishastukia mapema hilo ndio maana ukicheki handbag zao ziko fulluuu kuanzia sabuni, losheni, lipstick, kanga, taulo, chupi ya akiba toilet pepa, wanja, pedi, dawa mseto, n.k vyote hivyo ni kuepusha ushaidi wanapofanya mahasi
Nataka nijue Kimbweka, baada ya kukunusa kimetokea nini?