Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu hapa kwenye jukwa allisema ukiwa bongo haiwezekaniki ila wao wanaweza kukunulia na wanamwakilishi wao pale Haidary Plaza,wanakuharge kiasi fulani kwanza mnakubaliana halafu ndio wanakutumia hicho kitu nawe unampa hela huyo mwakilishi wao
huyo mwakilishi wao yuko ofisi ipi?
kiufupi mi nilitaka kununua PS3 lakini kwa kumtumia mtu aliyeko uingereza kisha aje nayo huku bongo, ila sijajua kama unataka kununua kitu kikubwa kama TV huyu mtu akifika hapa uwanja wa ndege hatatozwa kodi?? ...
Sidhani kama bongo wanaweza ku deliver.
jamani kuna wabongo ambao wananunua vitu kutoka amazon.com.? naomba experience zao..mmi nasita kdgo coz sijawahi kununua vitu online
Hata mie wasiwasi wangu kwa bongo ni devlivery!
Posta ni wazembe sana, labda kama utawatumia DHL, hawa huenda wakafikisha mzigo ukiwa katika good order.
Kuna mtu hapa kwenye jukwa allisema ukiwa bongo haiwezekaniki ila wao wanaweza kukunulia na wanamwakilishi wao pale Haidary Plaza,wanakuharge kiasi fulani kwanza mnakubaliana halafu ndio wanakutumia hicho kitu nawe unampa hela huyo mwakilishi wao
huyo mwakilishi wao yuko ofisi ipi?
kiufupi mi nilitaka kununua PS3 lakini kwa kumtumia mtu aliyeko uingereza kisha aje nayo huku bongo, ila sijajua kama unataka kununua kitu kikubwa kama TV huyu mtu akifika hapa uwanja wa ndege hatatozwa kodi?? ...
Kuna mtu hapa kwenye jukwa allisema ukiwa bongo haiwezekaniki ila wao wanaweza kukunulia na wanamwakilishi wao pale Haidary Plaza,wanakuharge kiasi fulani kwanza mnakubaliana halafu ndio wanakutumia hicho kitu nawe unampa hela huyo mwakilishi wao
jamani kuna wabongo ambao wananunua vitu kutoka amazon.com.? naomba experience zao..mmi nasita kdgo coz sijawahi kununua vitu online
Mkuu,
Njia pekee kwa sasa ni kuwasiliana na mtu ambae yupo Marekani au Ulaya na atakununulia kitu chochote kutoka amazon iwe ni kule Amazon.com ya Marekani au Amazon.co.uk na akutumie huko Tanzania kwa kutumia DHL.
Itabidi muelewane kwenye suala la pesa na wewe utakuwa unafidia gharama za huyo mtu kukutumia mzigo wako.
Tatizo ni shipping kama alivyosema mmoja wa wachangiaji lakini unaweza kupata mzigo wako ikiwa tu utatumwa kupitia DHL.
Mimi ni mwanachama wa muda mrefu wa amazon na nimekuwa sipati tatizo kutuma mizigo Tanzania sema tu gharama za DHL ni za juu sana ila ukituma mizigo mikubwa huwa inapungua.
Pia unaweza kutumia kadi yenye nembo ya VISA ya CRDB endapo tu ukiwa utakuwa na anuani ya uhakika na post code inayoeleweka na watu wa amazon wakatambua hilo maana Afrika mpaka sasa hawajawahi kutuma mizigo!
Senks kwa maelezo yako, lakini nataka kujua kuhusu kodi, endapo mzigo utatumwa kupitia DHL je utatakiwa kulipia kodi? na je hiyo kodi unalipa mzigo ukifika au wakati wakuorder unalipia kodi kabisa TRA? mwenye idea plz