kununua vitu kutoka amazon.com

Makenya

Member
Jan 20, 2011
33
3
jamani kuna wabongo ambao wananunua vitu kutoka amazon.com.? naomba experience zao..mmi nasita kdgo coz sijawahi kununua vitu online
 
Kuna mtu hapa kwenye jukwa allisema ukiwa bongo haiwezekaniki ila wao wanaweza kukunulia na wanamwakilishi wao pale Haidary Plaza,wanakuharge kiasi fulani kwanza mnakubaliana halafu ndio wanakutumia hicho kitu nawe unampa hela huyo mwakilishi wao
 
Kuna mtu hapa kwenye jukwa allisema ukiwa bongo haiwezekaniki ila wao wanaweza kukunulia na wanamwakilishi wao pale Haidary Plaza,wanakuharge kiasi fulani kwanza mnakubaliana halafu ndio wanakutumia hicho kitu nawe unampa hela huyo mwakilishi wao

huyo mwakilishi wao yuko ofisi ipi?
kiufupi mi nilitaka kununua PS3 lakini kwa kumtumia mtu aliyeko uingereza kisha aje nayo huku bongo, ila sijajua kama unataka kununua kitu kikubwa kama TV huyu mtu akifika hapa uwanja wa ndege hatatozwa kodi?? ...
 
huyo mwakilishi wao yuko ofisi ipi?
kiufupi mi nilitaka kununua PS3 lakini kwa kumtumia mtu aliyeko uingereza kisha aje nayo huku bongo, ila sijajua kama unataka kununua kitu kikubwa kama TV huyu mtu akifika hapa uwanja wa ndege hatatozwa kodi?? ...

Inawezekana kabisa. Inabidi uwe na debit card ya Visa/Mastercard ambayo imekuwa activated kufanya online transactions. Kodi kutozwa ni lazima:)
 
jamani kuna wabongo ambao wananunua vitu kutoka amazon.com.? naomba experience zao..mmi nasita kdgo coz sijawahi kununua vitu online

Unaweza kabisa kununua vitu online ukiwa Tanzania. Uwe na kadi iliyowezehswa kama ya CRDB nk then unanunua. Tatizo ni shipping! Yaani kukituma hicho kitu toka huko nje hadi kwako! Ila kama gharama ya shipping siyo tatizo you can buy. Nenda na kadi yako ya CRDB uwajulishe utajaza form maalum then utaweza kununua vitu online
 
Hata mie wasiwasi wangu kwa bongo ni devlivery!
Posta ni wazembe sana, labda kama utawatumia DHL, hawa huenda wakafikisha mzigo ukiwa katika good order.

LAkini DHL nighali sana. Posta ukiwekea mizigo yako insurance inafika salama kabisa hadi kwenye sanduku lako la Posta! Nimewahi kufanya hivyo siyo maramoja!
 
Kuna mtu hapa kwenye jukwa allisema ukiwa bongo haiwezekaniki ila wao wanaweza kukunulia na wanamwakilishi wao pale Haidary Plaza,wanakuharge kiasi fulani kwanza mnakubaliana halafu ndio wanakutumia hicho kitu nawe unampa hela huyo mwakilishi wao

Mkuu una namba za hao jamaa za simu unipatie? Mizigo yangu itakuwa na security yoyote?
 
huyo mwakilishi wao yuko ofisi ipi?
kiufupi mi nilitaka kununua PS3 lakini kwa kumtumia mtu aliyeko uingereza kisha aje nayo huku bongo, ila sijajua kama unataka kununua kitu kikubwa kama TV huyu mtu akifika hapa uwanja wa ndege hatatozwa kodi?? ...

Nakushauri kama una mtu huko bora akununulie yeye na aje nao utaokoa gharama kubwa sana!
 
Kuna mtu hapa kwenye jukwa allisema ukiwa bongo haiwezekaniki ila wao wanaweza kukunulia na wanamwakilishi wao pale Haidary Plaza,wanakuharge kiasi fulani kwanza mnakubaliana halafu ndio wanakutumia hicho kitu nawe unampa hela huyo mwakilishi wao

okay bro pale, haidary plaza office gani mkuu?
 
jamani kuna wabongo ambao wananunua vitu kutoka amazon.com.? naomba experience zao..mmi nasita kdgo coz sijawahi kununua vitu online

Mkuu,

Njia pekee kwa sasa ni kuwasiliana na mtu ambae yupo Marekani au Ulaya na atakununulia kitu chochote kutoka amazon iwe ni kule Amazon.com ya Marekani au Amazon.co.uk na akutumie huko Tanzania kwa kutumia DHL.

Itabidi muelewane kwenye suala la pesa na wewe utakuwa unafidia gharama za huyo mtu kukutumia mzigo wako.

Tatizo ni shipping kama alivyosema mmoja wa wachangiaji lakini unaweza kupata mzigo wako ikiwa tu utatumwa kupitia DHL.

Mimi ni mwanachama wa muda mrefu wa amazon na nimekuwa sipati tatizo kutuma mizigo Tanzania sema tu gharama za DHL ni za juu sana ila ukituma mizigo mikubwa huwa inapungua.

Pia unaweza kutumia kadi yenye nembo ya VISA ya CRDB endapo tu ukiwa utakuwa na anuani ya uhakika na post code inayoeleweka na watu wa amazon wakatambua hilo maana Afrika mpaka sasa hawajawahi kutuma mizigo!
 
Mkuu,

Njia pekee kwa sasa ni kuwasiliana na mtu ambae yupo Marekani au Ulaya na atakununulia kitu chochote kutoka amazon iwe ni kule Amazon.com ya Marekani au Amazon.co.uk na akutumie huko Tanzania kwa kutumia DHL.

Itabidi muelewane kwenye suala la pesa na wewe utakuwa unafidia gharama za huyo mtu kukutumia mzigo wako.

Tatizo ni shipping kama alivyosema mmoja wa wachangiaji lakini unaweza kupata mzigo wako ikiwa tu utatumwa kupitia DHL.

Mimi ni mwanachama wa muda mrefu wa amazon na nimekuwa sipati tatizo kutuma mizigo Tanzania sema tu gharama za DHL ni za juu sana ila ukituma mizigo mikubwa huwa inapungua.

Pia unaweza kutumia kadi yenye nembo ya VISA ya CRDB endapo tu ukiwa utakuwa na anuani ya uhakika na post code inayoeleweka na watu wa amazon wakatambua hilo maana Afrika mpaka sasa hawajawahi kutuma mizigo!

Senks kwa maelezo yako, lakini nataka kujua kuhusu kodi, endapo mzigo utatumwa kupitia DHL je utatakiwa kulipia kodi? na je hiyo kodi unalipa mzigo ukifika au wakati wakuorder unalipia kodi kabisa TRA? mwenye idea plz
 
Senks kwa maelezo yako, lakini nataka kujua kuhusu kodi, endapo mzigo utatumwa kupitia DHL je utatakiwa kulipia kodi? na je hiyo kodi unalipa mzigo ukifika au wakati wakuorder unalipia kodi kabisa TRA? mwenye idea plz

Nafikiri DHL kwa kukutoza pesa ya kukuletea mzigo wako wanakuwa wamekwishakukutoza kodi kabisa kwani mzigo wako wanakutelea kwenye anuani yako.
 
Online purchases inawezekana ikiwa tu unayo debit visa/master card ambayo itakuwa imewezeshwa, kama ambavyo wadau kadhaa walivyosema. Tatizo ambalo lipo hapa kwetu ni delivery! Nakumbuka wakati fulani nilijaribu kufanya online purchase from amazon.com, baada ya ku-submit order, walijibu hawawezi kudeliver hicho kifaa nchini kwangu(Tanzania). Sikufuatilia zaidi kujua kwanini. Kwakweli njia ya uhakika na salama ni ya kumtumia mtu unayemjua.

Nimeshaagiza zaidi ya mara moja laptop toka US kwa kumtumia shemeji yangu mmoja aishie huko. Na zote nilizipata hapa hapa nilipo(Morogoro) kupitia posta. Alinipa website ya kampuni ya huko U.S.A aliyotumia kusafirisha mzigo pamoja na serial number ambazo alipewa na hiyo kampuni. Hii serial number inakuwezesha kupata information through the website given, mzigo uko wapi na lini utaingia destination port. Kwa ufupi unakuwa na uwezo wa kufuatilia jinsi mzigo wako unavyosafiri.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom