Nina best yangu ambaye alikuja kwangu kuniomba nimtafutie MTEJA wa GARI yake. Alikua na shida sana Kwani alikua anaumwa. Kwa Kua wateja ni shida nikaona njia raisi ya kumsaidia ni kuinunua Mimi mwenyewe. Tukaelewana nikampatia pesa akanipatia GARI na file yake, baada ya wiki moja akanijia anaomba mwisho wa mwezi huu anirudishie pesa yangu nimpe GARI yake.
Wadau hebu shauri hili swala.
Wadau hebu shauri hili swala.