afrolife
Senior Member
- Oct 27, 2009
- 154
- 102
Habari wakuu,
Naomba mwenye info kuhusu car dealer / agent yeyote anayeratibu ununuzi wa gari (used in japan or tz) katika malipo ya awamu (esp. hapa DSM) anijuze tafadhali. Mfano gharama ya ni gari ni Mil 5, then mteja aweza fanya down payment ya 3m na kumalizia 1m kwa mwezi unaofuata na 1m kwa mwezi wa mwisho. NB: dealer anaweza baki na kadi ya gari mpaka payments zitakapo kamilika.
Natanguliza shukraniza dhati.
Naomba mwenye info kuhusu car dealer / agent yeyote anayeratibu ununuzi wa gari (used in japan or tz) katika malipo ya awamu (esp. hapa DSM) anijuze tafadhali. Mfano gharama ya ni gari ni Mil 5, then mteja aweza fanya down payment ya 3m na kumalizia 1m kwa mwezi unaofuata na 1m kwa mwezi wa mwisho. NB: dealer anaweza baki na kadi ya gari mpaka payments zitakapo kamilika.
Natanguliza shukraniza dhati.