tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Wanajamvi...Hope all is fine with you!
Hivi katika ndoa kwa nini wanaume kati ya wengi siku hizi wamekuwa wabinafsi hivyo...
Hii imetokea sana na pia rafiki yangu kanieleza nimpe ushauri kwani kuna mume wake huwa akitumia hela yake kwa matumizi ya nyumbani huwa ananuna siku nzima na hata kesho yake..na kulalamika matumizi yamemmalizia hela...hivi wanaume hii ni sawa....mbona na sisi wanawake huwa tunatumia hela kwa mambo mengi tu ya nyumbani hatununi hebu jirekebishen bwana kumbuken nyie ndio mngetakiwa kuangalia kila kitu katika kulea familia...au je mnataka hela zenu mkamalizie baaa na akina Amina....haaaah samahanini kama nitakuwa nimewagusa wanaume wale wenye tabia kama hii..Nisaidien mawazo nikamwabarishe huyu rafiki maana yuko kwenye wakati mgumu sana...
Hivi katika ndoa kwa nini wanaume kati ya wengi siku hizi wamekuwa wabinafsi hivyo...
Hii imetokea sana na pia rafiki yangu kanieleza nimpe ushauri kwani kuna mume wake huwa akitumia hela yake kwa matumizi ya nyumbani huwa ananuna siku nzima na hata kesho yake..na kulalamika matumizi yamemmalizia hela...hivi wanaume hii ni sawa....mbona na sisi wanawake huwa tunatumia hela kwa mambo mengi tu ya nyumbani hatununi hebu jirekebishen bwana kumbuken nyie ndio mngetakiwa kuangalia kila kitu katika kulea familia...au je mnataka hela zenu mkamalizie baaa na akina Amina....haaaah samahanini kama nitakuwa nimewagusa wanaume wale wenye tabia kama hii..Nisaidien mawazo nikamwabarishe huyu rafiki maana yuko kwenye wakati mgumu sana...