Kunungunuka na kulalamika

Mara "kunungunuka" unaelekezwa ndo unazidi kuharibu "kunusahihisha"

Yapasa upigwe jeki, Sikia Umutimbaru,
Mbona haueleweki, Nenda kasome ngumbaru,
Nakueleza rafiki, usijifanye kifaru,
Soma uje kuwa huru, ama sivyo haufiki.
 
Mara "kunungunuka" unaelekezwa ndo unazidi kuharibu "kunusahihisha"

Yapasa upigwe jeki, Sikia Umutimbaru,
Mbona haueleweki, Nenda kasome ngumbaru,
Nakueleza rafiki, usijifanye kifaru,
Soma uje kuwa huru, ama sivyo haufiki.

Nimeipenda 'shule' ya nimie kwa Umutimbaru!
Halafu huyu jamaa anajidai kujiita Umutimbaru lakini
mimi nimemstukia. Huyu ni Nshomile live!! Hata hivyo
ninapenda kumsisitiza kwamba kila anapoandika uzi wowote
afanye juhudi kubwa kurudia rudia kuusoma kwa lengo la kufanya
masahihisho kabla ya kutuma. Hiyo itamsaidia kuepuka au kupunguza
'utumbo'!
 
Nashukuru umonto uhene, lakini ujumbe siumefika. Kwani shida ni nini, ni maandishi au ujumbe. 'Ndamanya unyunguye'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom