Umutimbaru
Member
- Jul 22, 2011
- 91
- 5
Wana JF nini tofauti Kati ya hayo maneno hapo juu.
Kunung'unika - ndio neno sahihi
nashukuru kwa kunusahihisha
Mara "kunungunuka" unaelekezwa ndo unazidi kuharibu "kunusahihisha"
Yapasa upigwe jeki, Sikia Umutimbaru,
Mbona haueleweki, Nenda kasome ngumbaru,
Nakueleza rafiki, usijifanye kifaru,
Soma uje kuwa huru, ama sivyo haufiki.