Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Je, dada zetu wanadeal vipi na hali kama hii katika mahusioano yao? Haswa tukizingatia kwamba mke au rafiki lazima anajuwa kilema cha mume au boyfriend wake. Je, wakina dada wanawaambia ukweli waume na marafiki zao ili kukabiliana na hili TATIZO?

Wakuu naona kipengele hiki kimesahaulika, mimi naona hapa kuwa harufu hizi si mbaya kwa wote kwani nimepata kusikia kutoka kwa mmojawapo akisema kuwa akimnusa mpenziwe kwapani basi anajihisi kusisimka zaidi. Haijalishi ananukia au ananuka. Kwake anaona raha tu. Lakini kwa vile pia katika jukwaa hili wapo kina dada wengi, nadhani wanaweza kuthibitisha hili.
 
Je, dada zetu wanadeal vipi na hali kama hii katika mahusioano yao? Haswa tukizingatia kwamba mke au rafiki lazima anajuwa kilema cha mume au boyfriend wake. Je, wakina dada wanawaambia ukweli waume na marafiki zao ili kukabiliana na hili TATIZO?

Wakuu naona kipengele hiki kimesahaulika, mimi naona hapa kuwa harufu hizi si mbaya kwa wote kwani nimepata kusikia kutoka kwa mmojawapo akisema kuwa akimnusa mpenziwe kwapani basi anajihisi kusisimka zaidi. Haijalishi ananukia au ananuka. Kwake anaona raha tu. Lakini kwa vile pia katika jukwaa hili wapo kina dada wengi, nadhani wanaweza kuthibitisha hili.

Hapo sasa. Na ndio maana 'sredi' hii ipo hapa uwanja wa fisi. Haijalishi ni mzungu, mhindi au mbantu, Iwapo mwili wa mtu unatema "sulphur" kiasi hicho kwenye halaiki ya watu, mkewe/mumewe anastahmili vipi??? Mimi hushangaa sana aisee...
 
Je, dada zetu wanadeal vipi na hali kama hii katika mahusioano yao? Haswa tukizingatia kwamba mke au rafiki lazima anajuwa kilema cha mume au boyfriend wake. Je, wakina dada wanawaambia ukweli waume na marafiki zao ili kukabiliana na hili TATIZO?

Wakuu naona kipengele hiki kimesahaulika, mimi naona hapa kuwa harufu hizi si mbaya kwa wote kwani nimepata kusikia kutoka kwa mmojawapo akisema kuwa akimnusa mpenziwe kwapani basi anajihisi kusisimka zaidi. Haijalishi ananukia au ananuka. Kwake anaona raha tu. Lakini kwa vile pia katika jukwaa hili wapo kina dada wengi, nadhani wanaweza kuthibitisha hili.

Mchango wa wakina dada ungesaidia sana, haswa kwenye kuambiana ukweli ndani ya MAHUSIANO, maana ndipo penye SONGOMBINGO. Mfano, umemkabidhi mjomba, kaka, babu, binamu au shangazi shughuli yako ya Harusi, Ubahatizo, Maulid au Suna ya mtoto. Ukashtukia kwamba kutokana na pilikapilika au frustration za shughuli, jasho limeanza kumtoka huyu mkuu na hivyo HARUFU YA KWAPA imeanza kuenea kila anapopita. Mbaya zaidi ni pale unapoona wageni wako waheshimiwa wanaanza kumkwepa huyu MC, au akipita wanabana PUA na kukonyezana. Sasa swali ni je, unaihandle vipi hii situation kwa wakati ule na hapo baadae?

Moja ya swali langu nililielekeza kwa dada zetu kwa sababu, mara nyingi wao ndio wanaofanya shughuli za usafi wa nguo (Laundry) kwenye ndoa na mahusiano ya kawaida. Pia, manunuzi ya vifaa vya usafi kama vile sabuni za kuogea na kufulia, dawa za mswaki, na Deodorants hufanywa na wakina dada. Lakini bila kuelezana ukweli kuhusu mapungufu yetu, je kuna uwezekano wa kubadilika kweli? Kwa sababu inawezekana wengine wanatoa harufu za kwapa, lakini wao wenyewe hawajihisi kama wananuka. Sasa bila kueleweshwa au kuambiwa ukweli na wale waliokaribu nao , je watawezaje kubadilika?

Inakera/Inadhalilisha sana unapoona mume, mke, ndugu au rafiki yako wa DHATI anazogobolewa na kuepukwa na watu ndani ya kadamnasi kutokana tatizo ambalo ni rahisi kulitatuwa.
 
Huu mzimu wa watu watanielewaje, watanionaje ndio unaofanya maisha ya Waafrika kuwa very complex! Kama ninanuka kikwapa kwa nini mtu mwingine awe concerned! Yaani ni sawa na kusema walevi huwa wananuka pombe. Ni kitu ambacho nitakutana nacho then tutaachana wewe utaenda kwako na mimi nitaenda kwangu!

Waafrika tunasumbuliwa sana na inferiority complex! Kutaka kujiweka kwenye level fulani ya maisha hata kama hustahili! Maisha ya namna hii huishia kutuumiza na kutuharibia mwelekeo! Mwache mwenye kikwapa chake anuke na kama yuko poa na hilo who cares!
 
...tukubali kukosoana.

Unaposhauriwa harufu ya mwili wako ni kero kwa wenzako, fanya jitihada kusawazisha hitilafu hiyo. Kunuka mdomo, kikwapa, na hata sehemu za siri sio sifa... ni karaha. Haijalishi wewe ni Muafrika, Mzungu au mhindi. Personal Hygiene ni muhimu.

Huenda wenyewe tunastahmiliana kutokana na ugumu wa hali za maisha, lakini harufu mbaya haimpendezi kila mmoja wetu, iwe ni Tanzania au hata huko ugenini. Jifikirie umo kwenye taxi yenye kiyoyozi halafu dereva ananuka kikwapa!
Tujitahidini jamani...

Mbu..hili neno !

Pamoja na prejudices na the fact kwamba binadamu yeyote hutoa harufu (kutokana na sababu mbalimbali - ugonjwa, hormones za balehe, vyakula mtu anavyokula etc)..haina maana watu wasijijali na kuzingatia usafi. Ni mara nyingi hata mimi nimewahi kusikia watu wakijipa matumaini ati - harufu ndio uanaume! Kuwa ati watu (wanaume) wanaojipenda ni wanawake au mashoga! Huu ni upotofu.Tusione aibu kukosoa japo mara nyingi huweza kusababisha uhasama. Kuna jamaa mmoja wa nchi moja Afrika magharibi alikosa kazi nzuri sana ya kimataifa kwa sababu ya kutoa harufu mbaya mwilini!

HARUFU YAWEZA KUKUKOSESHA MENGI!
 
Kusema race fulani inanuka kikwapa ni ujinga wa kutokuielewa fiziolojia ya mwili wa binadamu.Nakubaliana na wadau waliosema kwamba generally wazungu inawezekana wakawa wachafu zaidi ya waafrika.Kutokana na uzoefu wangu binafsi na mademu wa kizungu,nikweli kabisa kuwa wengi ni wachafu.Wananuka midomo,nywele mpaka hivyo vikwapa.Wengi hawaogi hata wiki nzima hasa wakati wa baridi.

Kupiga mswaki,wanachukua muda mfupi sana,na huwa ni kusafisha meno ya mbele tu basi!Na hii haijalishi 'class'.Wanachofanya ni kuvaa ma make ups,na kweli wakitoka huwa 'wanawaka' kwelikweli,na ukikutana nae kitaa lazima upagawe,lakini ukimpeleka chumbani kama wewe hupendi mademu wachafu,basi hamu yote itakwisha!Sisi hapa tunawaita 'vinuka mdomo',japo wapo wengine ambao ni wasafi.

Madaktari wa ngozi(dermatologists) wanasema its physiologic kwa binadamu yeyote kutoa harufu kwenye makwapa,groins na chini ya matiti hasa wanawake.Harufu ya sehemu hizi huanza wakati wa kubalehe na inasababishwa na actions of bacteria kwenye secretion ya aina mojawapo ya sweat glands(apocrine glands) ambazo zinapatikana kwa wingi katika sehemu hizo na huwa huanza kufanya kazi baada ya kubalehe.
 
Huu mzimu wa watu watanielewaje, watanionaje ndio unaofanya maisha ya Waafrika kuwa very complex! Kama ninanuka kikwapa kwa nini mtu mwingine awe concerned! Yaani ni sawa na kusema walevi huwa wananuka pombe. Ni kitu ambacho nitakutana nacho then tutaachana wewe utaenda kwako na mimi nitaenda kwangu!

Waafrika tunasumbuliwa sana na inferiority complex! Kutaka kujiweka kwenye level fulani ya maisha hata kama hustahili! Maisha ya namna hii huishia kutuumiza na kutuharibia mwelekeo! Mwache mwenye kikwapa chake anuke na kama yuko poa na hilo who cares!

Dah, I cant imagine kabisa kama uliyoyaandika ni kweli hisia zako au basi tu unachangamsha baraza. Binafsi 'foundation' ya personal hygiene ilianzia tangu pale akili inaingia kwamba hakuna kulala bila kukoga na kupiga mswaki, likewise kila siku asubuhi nikiamka.

Kunawa mikono kwa sabuni ni lazima kabla ya kula na baada ya kula. Kufua nguo, kupiga pasi na kuvaa nguo safi...yote nilijifunza enzi za sayansi kimu Primary school. Leo hii unataka kuniambia eti who cares??? I care bana

Hata shule ya vidudu tuliimba "paulo mchafu usicheze na sisi!", leo hii unataka kuniambia who cares? hapana bana. Uchafu haukubaliki, Kunuka ni ishara ya uchafu. Sijali kama ni Mbantu, mhindi, mzungu au Mchina, uchafu na kunuka hakukubaliki...potelea mbali kama hiyo ni inferiority complex.
 
Huu mzimu wa watu watanielewaje, watanionaje ndio unaofanya maisha ya Waafrika kuwa very complex! Kama ninanuka kikwapa kwa nini mtu mwingine awe concerned! Yaani ni sawa na kusema walevi huwa wananuka pombe. Ni kitu ambacho nitakutana nacho then tutaachana wewe utaenda kwako na mimi nitaenda kwangu!

Waafrika tunasumbuliwa sana na inferiority complex! Kutaka kujiweka kwenye level fulani ya maisha hata kama hustahili! Maisha ya namna hii huishia kutuumiza na kutuharibia mwelekeo! Mwache mwenye kikwapa chake anuke na kama yuko poa na hilo who cares!

Naomba nitofautiane nawe ndugu yangu.... kwamba mtu abaki na kikwapa chake labda kama yuko ndani mwake na hachanganyiki na wengine. Iwapo atakuwa na wengine basi asiletee wengine kero.Halafu hili la kudhani uafrika ni sawa na uchafu inabidi tubadilike. Usafi ni kumkaribia Mungu! Mungu ametupa maji ya bure , akatupa maua na majani yenye kuweza kutumika kuondoa uchafu na harufu mbaya. Tuvitumie.

Nawashauri kwa mara nyingine tena maana niliwahi kutoa huu ushauri.KWA WENYE VIKWAPA SUGU VISIVYOSIKIA SABUNI WALA COLOGNE. SIMPLY PIKA UGALI HADI UWE NA UKOKO ULIO UNGUA. LOWEKA SUFURIA YENYE UKOKO KISHA NAWIA MAJI YAKE. UNAWEZA PIA KUTUMIA NDIMU AU LIMAO KUSUGULIA MAKWAPA. HARUFU ITAISHA!
 
Kusema race fulani inanuka kikwapa ni ujinga wa kutokuielewa fiziolojia ya mwili wa binadamu.Nakubaliana na wadau waliosema kwamba generally wazungu inawezekana wakawa wachafu zaidi ya waafrika.Kutokana na uzoefu wangu binafsi na mademu wa kizungu,nikweli kabisa kuwa wengi ni wachafu.Wananuka midomo,nywele mpaka hivyo vikwapa.

Wengi hawaogi hata wiki nzima hasa wakati wa baridi. Kupiga mswaki, wanachukua muda mfupi sana, na huwa ni kusafisha meno ya mbele tu basi! Na hii haijalishi 'class'. Wanachofanya ni kuvaa ma make ups, na kweli wakitoka huwa 'wanawaka' kwelikweli,na ukikutana nae kitaa lazima upagawe,lakini ukimpeleka chumbani kama wewe hupendi mademu wachafu, basi hamu yote itakwisha! Sisi hapa tunawaita 'vinuka mdomo', japo wapo wengine ambao ni wasafi.

Madaktari wa ngozi(dermatologists) wanasema its physiologic kwa binadamu yeyote kutoa harufu kwenye makwapa,groins na chini ya matiti hasa wanawake.Harufu ya sehemu hizi huanza wakati wa kubalehe na inasababishwa na actions of bacteria kwenye secretion ya aina mojawapo ya sweat glands(apocrine glands) ambazo zinapatikana kwa wingi katika sehemu hizo na huwa huanza kufanya kazi baada ya kubalehe.

Japo tunaweza kujipalilia watu weusi kuwa tuko sawa na hao weupe, mimi siamini holo, tunafanana lakini hatuko sawa kwa baadhi ya maumbile na jinsi miili yetu inavyopambana na joto ama baridi, ni sayansi ya kawaida sana kuhusu joto na rangi nyeusi, hapo kwenye nyhekundu kama ingekuwa hawa dada zetu wabehave hivyo kukaa bila kuoga wala kupiga mswaki kwa wiki sidhani kama wangetembea njiani, hayo huo uchafu unaozungumza wa wazungu sisi hatuuwezi kabisa na tujijaribu japo kwa wiki itakuwa ni balaa. Tofauti ipo na lazima tuikubali
 
Hawa jamaa wana mwendelezo wao ule ule wa matusi na lugha za kibaguzi dhidi ya rangi nyeusi, yaani mwanadamu halisi, wameshapandikiza mbegu na elimu mbaya kuwa the african people, is a mordern people from zinjas, sasa wamenza na mpya, stupid are they, kwa nini hiyo system ikaisha? mbona ya wale vyura kutokana na virui rui vinavyo kuwa be formed by situated water, bado ni endelevu hata sasa?
 
Naomba nitofautiane nawe ndugu yangu.... kwamba mtu abaki na kikwapa chake labda kama yuko ndani mwake na hachanganyiki na wengine. Iwapo atakuwa na wengine basi asiletee wengine kero.Halafu hili la kudhani uafrika ni sawa na uchafu inabidi tubadilike. Usafi ni kumkaribia Mungu! Mungu ametupa maji ya bure , akatupa maua na majani yenye kuweza kutumika kuondoa uchafu na harufu mbaya. Tuvitumie.

Nawashauri kwa mara nyingine tena maana niliwahi kutoa huu ushauri.KWA WENYE VIKWAPA SUGU VISIVYOSIKIA SABUNI WALA COLOGNE. SIMPLY PIKA UGALI HADI UWE NA UKOKO ULIO UNGUA. LOWEKA SUFURIA YENYE UKOKO KISHA NAWIA MAJI YAKE. UNAWEZA PIA KUTUMIA NDIMU AU LIMAO KUSUGULIA MAKWAPA. HARUFU ITAISHA!

Mmhh very interesting. Any scientific explaination to why/how MAJI YA UKOKO WA UGALI can be used as deodorant or perform that way?
 
Huu mzimu wa watu watanielewaje, watanionaje ndio unaofanya maisha ya Waafrika kuwa very complex! Kama ninanuka kikwapa kwa nini mtu mwingine awe concerned! Yaani ni sawa na kusema walevi huwa wananuka pombe. Ni kitu ambacho nitakutana nacho then tutaachana wewe utaenda kwako na mimi nitaenda kwangu!

Waafrika tunasumbuliwa sana na inferiority complex! Kutaka kujiweka kwenye level fulani ya maisha hata kama hustahili! Maisha ya namna hii huishia kutuumiza na kutuharibia mwelekeo! Mwache mwenye kikwapa chake anuke na kama yuko poa na hilo who cares!

Who cares? Are you kidding me? Okay, najuwa nobody likes to be told, "hey body, you smell bad.. go take a shower and put on some deodorant." Lakini kusema who cares! sidhani kama ni uamuzi wa busara. I am sure it won't be fun to hear it from total strangers.:twitch:
 
Ni kweli kuwa mara nyingi hizi harufu, haswa za kwapani!, zina maana yake; Mume au mke akinusa ashki zinapanda!!!!.

Walakin hizo sehemu zingine jama apanaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
SI WAAFRICA TU NDO WANANUKA VIKWAPA, mtu yeyote ambaye haogi na kutumia pafumu lazima atanuka tu, si mzungu wala mwamfrika. kwetu huko home, hasa sisi tuliokuwa tumezaliwa village, hatukuwa tunahamasishwa sana kuoga kila siku, na hatukujua nini hivyo vipulizo vya makwapani vinatumiwa..etc. hivyo tulipohamia mjini, mwanzoni tulikuwa tunanuka vikwapa, lakini kadiri tulivozidi kuelimika, tukawa tunaoga sana, tunapiga pafumu, na kujiweka wasafi muda wote....

kuna watu hapo tz wametokea mikoa ya baridi, ni sawa na hao wa zimbabwe na congo, ambao kwa siku unaoga mara moja tu, na unaweza kuvaa nguo moja hiyohiyo kwa siku tatu. akija ulaya anataka kuendeleza ivyoivyo ati avae nguo moja siku tatu na aoge mara moja kwa siku, bila pafumu wala nini. hapo lazima atanuka na inakuwa ni ngumu sana kumweleza kwasababu ni offensive sana kwake atajisikia vibaya kusikia ukimwambia ananuka.

hivyo, kunuka kikwapa si kitu special kwa race fulani, ni kitu cha kawaida tu kwa kila race ya watu, hasa pale mtu ambapo haogi at least mara mbili kwa siku na kuvaa nguo safi na kutumia deodorant. ukifika hapa ulaya, nenda kwa sehemu wanapojenga majengo marefu, angalia wale wazungu mainjinia wanaojenga uone kama hawanuki, ni kutokana na kazi zile wanazofanya zinawafana watoe jasho muda mrefu, na kama hataoga vizuri, lazima atanuka tu....wanadamu wote wasipooga na kutumia manukato watanuka tu, si kwa waafrica peke yao.
 
Deodorants hufanywa na wakina dada. Lakini bila kuelezana ukweli kuhusu mapungufu yetu, je kuna uwezekano wa kubadilika kweli? Kwa sababu inawezekana wengine wanatoa harufu za kwapa, lakini wao wenyewe hawajihisi kama wananuka. Sasa bila kueleweshwa au kuambiwa ukweli na wale waliokaribu nao , je watawezaje kubadilika?
Inakera/Inadhalilisha sana unapoona mume, mke, ndugu au rafiki yako wa DHATI anazogobolewa na kuepukwa na watu ndani ya kadamnasi kutokana tatizo ambalo ni rahisi kulitatuwa.


Haiwezekani hata kidogo mtu utoe harufu usijue! Ni kwamba mtu anakuwa kazoea harufu mbaya yake anaona sawa tu!
 
mmhh very interesting......any scientific explaination to why/how MAJI YA UKOKO WA UGALI can be used as deodorant or perform that way??

Consider this then figure it out yourself:

"Innofresh AUTO utilizes VAT technology a porous ventilated activated charcoal filter that absorbs even the toughest smell from cigarette smoke and odors from pets and food spills without the worry of irritating fragrances, gels and chemicals that include warning statements like keep away from pets and children or may harm fabric and leather surfaces. You now have a choice The safer choice is fragrance free activated charcoal from Innofresh. Just clip on, hang or place Innofresh auto odor eliminators anywhere in your car and trunk and start enjoying that fresh air again"

SAME PRINCIPLES APPLY!THE DIFFERENCE IS THAT ugali ukoko is locally made!
 
Raha ya mapenzi ni usafi kwa nyote wawili-naamini hamana mtu anayependa kufanya na mapenzi na mwanamke mchafu au mwanaume mchafu-kwa hili lazima tuwe wawazi maana mko free kushika sehemu yoyote ya mwili wa mwezi wako hivyo cyo mwenzio anakushika anaona kinyaa. Hili nila kuwekea msisitizo saana. Usafi ni muhimu-kuna wengine wanauka kikwapa kwa sababu ni ugonjwa na ndiyo maana kuna dedoranth kwa ajili yao ni lazima uzitumie pale inapobidi.

Nimeishi ugaibuni mda sas- huku wanaoongoza kwa uchafu ni wazungu-kuanzia mwili, jikoni hadi wanapolala-they are real dirty, Cjui hata nielezeje!!
 
Consider this then figure it out yourself:


"Innofresh AUTO utilizes VAT technology – a porous ventilated activated charcoal filter that absorbs even the toughest smell from cigarette smoke and odors from pets and food spills without the worry of irritating fragrances, gels and chemicals that include warning statements like "keep away from pets and children" or "may harm fabric and leather surfaces". You now have a choice – The safer choice is fragrance free activated charcoal from Innofresh. Just clip on, hang or place Innofresh auto odor eliminators anywhere in your car and trunk and start enjoying that fresh air again"

SAME PRINCIPLES APPLY!THE DIFFERENCE IS THAT ugali ukoko is locally made!

.........not convinced.....
 
Haiwezekani hata kidogo mtu utoe harufu usijue! Ni kwamba mtu anakuwa kazoea harufu mbaya yake anaona sawa tu!
T. Mzalendo kuna baadhi ya watu wakishafikia umri fulani au kutokana na sababu za kiafya hupoteza their sense of smell au taste. Hivyi basi, mtu kama huyu anaweza akawa anawafukiza wenzake huku yeye hana habari. Ukumpa jukumu la kuchunga mboga iliyo jikoni basi melala na njaa!!! Maana hanusi hata harufu ya kuungua.
 
Kweli twanuka ,haina haja ya kujitetea au kutetea ,kusema kweli halufu tunayo ,maana nakumbuka gari ilikuja jufunga break aloo niliangukia kwenye kwapa ,ile style ya basi limejaa afu mnajipanga na kukamata chuma cha juu ,yaani we wacha tu :pound:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom