Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza wanawake wanakawaida ya kua na chupi nyingi kuliko wanaume,na hivyo wanapofua wanazianika nje,...sometime bila umakini/zinazagaa kwenye kamba au kwenye majan na hivyo kunguru huzipata kirahisi
Teeh teeh wanapenda ile harufu za sehemu zinazo fichwa
Ahahahaaah!!!nakumbuka siku moja waliangusha uwani kwangu bonge la mchupi wa kiume una makimba yaliyofanya kuganda kabisa....ndo maana hawabebi za kiume:help:
nakumbuka siku moja waliangusha uwani kwangu bonge la mchupi wa kiume una makimba yaliyofanya kuganda kabisa....ndo maana hawabebi za kiume:help:
yoyote huchafuka zaidi kama mwenye nayo hatoisafisha.Hivi ni chupi zipi huchafuka zaidi, za kiume au za kike?
Sitaki ushabiki leteni hoja zenye proof