Tafadhali acha kumpa nafasi SHETANI ajiinue kupitia kwako. YESU NDIO JIBU KWA KILA KITU. Tua mzigo ulionao kwake naye atakupumzisha.Nshukuru mkuu, lakini nikikaa mwenyewe tu nikaomba kwa imani Bwana wa Majeshi si atanisikia?
Kweli jambo hili limeni shake kiaina.