LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
I will hunt them this weekend, watanikoma!
nilikuwa ndio nimeshuka kwenye gari, ghafla nikaona kundi la vijana wakiimba na watu kukimbia ovyo, kabla sijajua nini kinaendelea nikashtuka nipo chini na jamaa wanagombea begi la laptop na wengine wakipekua mifukoni.
Mnaogopa na kulaani vibaka waibao ili mkono upate kwenda kimyani hawa siyo wa kulaumiwa kabisaaa.
Mkuu wa kaya na mafisadi wenzie ndiyo wa kulaumiwa wangelekebisha life na kuacha ufisad wa kithenge vijana wasinge fanya haya.